Hizi hata hazirudishi pesa ambazo Karia katumia kuhonga wajumbe.Atleast jamaa zangu wapate cha kudunduliza.
View attachment 1817989
Yapata milioni kumi toka kwa waliochukua form za kugombea nafasi mbalimbali.
Kwan mashaara wake Shi ngapi?Hizi hata hazirudishi pesa ambazo Karia katumia kuhonga wajumbe.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app