Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshajiridhisha ndio Mana tumemshtaki kwenye vyombo vyenye dhamana. Upande wa mshtakiwa nao waje na sababu za kutengua mashtaka.kwanza wangeanza kujiridhisha kama hiyo voice note ni ya Luc, na kama haijawa edited au kuongezewa maneno maneno, wapo watalaam wa sauti wao weza thibisha hili, pale itakapo bainika hiyo 'voice note ' imechezewa' itakuwa ni aibu kubwa kwa TFF na ikibainika hiyo voice note ni 'real' na haijachezewa kwa kweli huyo ni wa kulala nae mbele...
Waambie ukweli CCM uone cha motoWatanzania hatupedagi kuambiwa ukweli, mzungu kasema ukweli kila mtu anataharuki
Kusema kweli kama sisi ni monkey au mbwa?Watanzania hatupedagi kuambiwa ukweli, mzungu kasema ukweli kila mtu anataharuki
Ukweli kwamba sisi ni mbwa au monkey?Watanzania hatupedagi kuambiwa ukweli, mzungu kasema ukweli kila mtu anataharuki
Atawashinda kwa mbali sanaHongereni TFF kwa kulishughulikia hili Tanzania hatutaki tabia za kibaguzi kwenye soccer letu.
View attachment 1518553
kwahiyo ni ukweli wewe ni nyani au mbwa!Watanzania hatupedagi kuambiwa ukweli, mzungu kasema ukweli kila mtu anataharuki
Kwani wewe sio nyani?kwahiyo ni ukweli wewe ni nyani au mbwa!
Simba inabebwa vipi?TFF imelala usingizi fofooooo tokea siku nyingi. Haya Mambo huwa mnayalea wenyewe coz yapo malalamiko ya kila siku ila huwa hamuwajibishi watu.
Suala la timu fulan kubebwa hatujawahi ona hata kiongozi mmoja wa timu akiwajibishwa kwa kauli za timu fulan inabebwa angalao awe na ushahidi. Sasa leo ndio mmeambiwa tena Simba mnambeba katika ushindi, bisheni na hilo
Kusema kweli kama sisi ni monkey au mbwa?
Wote mkuu katuchanganyaNdala ndio monkey