Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,261
Huna najiuliza hivi Ammy Ninje ilikuwaje akatolewa? Kocha mkubwa sana huyu.TFF ya awamu ya wendawazimu kabisa. Sijui wanatumia kiungo gani kufikiri.
Kama ni suala la kumpa mzawa na ni wazo zuri, huyo Mrundi katokea wapi?