Ninayo furaha kuwafahamisha kuwa leo TFF ya malinzi imenyoshwa mara baada ya Yanga kuruhusu watu waingie bure kwenye mechi ya TP Mazembe na Yanga.
Hapa kilichonifurahisha ni kile kipengere cha kugawana mapato. Kwa hiyo kama pato ni Tshs 0 basi wanagawana hiyo 0 kila mmoja na asilimia zake. Malinzi ajifunze aache figisu katika soka la bongo analiua.
Nampongeza sana Manji kwa mikakati yake madhubuti ya kupambana na hili kupe la soka hapa nchini.
Hapa kilichonifurahisha ni kile kipengere cha kugawana mapato. Kwa hiyo kama pato ni Tshs 0 basi wanagawana hiyo 0 kila mmoja na asilimia zake. Malinzi ajifunze aache figisu katika soka la bongo analiua.
Nampongeza sana Manji kwa mikakati yake madhubuti ya kupambana na hili kupe la soka hapa nchini.