kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Jambo hili ni muhimu sana.Utakuta mtu anafanya personal attack kwa muwekezaji na biashara zake kisa alinyimwa mshahara anaoutaka.
Jambo hili ni ugaidi wa kibiashara na lisipoangaliwa vizuri litaleta shida sana baadae.
Kama wewe ni msemaji wa timu pinzani hakuna sababu ya kuleta personal attacks kwenye brands za watu badala ya kuleta utani na club.
Sijawahi kusikia bidhaa za GSM wala Azam zikishambuliwa tangu nimeanza kufuatilia mpira wa kibongo.Ila naona kuna mtu anafanya juu chini kuuangusha mbuyu.Huyu ni maskini kabisa aliyejawa na chuki na visasi.Kisa Alitaka alipwe pesa nyingi kuliko wachezaji kisa anatukana ovyo insta.
TFF naombeni mtengeneze kanuni ili watu hawa wakiajiriwa na club wawe na vyeti.
Vinginevyo wabaki kama mashabiki wengine wa kawaida
Jambo hili ni ugaidi wa kibiashara na lisipoangaliwa vizuri litaleta shida sana baadae.
Kama wewe ni msemaji wa timu pinzani hakuna sababu ya kuleta personal attacks kwenye brands za watu badala ya kuleta utani na club.
Sijawahi kusikia bidhaa za GSM wala Azam zikishambuliwa tangu nimeanza kufuatilia mpira wa kibongo.Ila naona kuna mtu anafanya juu chini kuuangusha mbuyu.Huyu ni maskini kabisa aliyejawa na chuki na visasi.Kisa Alitaka alipwe pesa nyingi kuliko wachezaji kisa anatukana ovyo insta.
TFF naombeni mtengeneze kanuni ili watu hawa wakiajiriwa na club wawe na vyeti.
Vinginevyo wabaki kama mashabiki wengine wa kawaida