njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,661
Huu mkataba unaosababisha hadi CEO wa Simba kufukuzwa uwanjani na familia yake, huu mkataba unaolazimisha Simba avae nembo begani kwa milion 5 kwa mwezi ilihali anao ATCL na AFricarriers waliotoa buses 4 na hawako hata kwenye jezi ni wa ajabu sana.
Mbaya zaidi ni kit supplier wa li team libovu anataka akae begani kwa milioni 60 kwa mwaka ilihali kit supplier wa Simba, Vunja bei anatoa bilioni moja, ni akili za wapi hizi, VITAMBI TAYARI VIPO HAMRIDHIKI TU JAMANI?
Ukiataka uamini kuna mababa yenye vitambi vyao yanaficha dhambi zao angalia vizuri hii TAG huko twitter, huyo anayeitwa mdhamini mkuu na yeye ajiongeze sasa aongee KWA HERUFI KUBWA NA WAHUSIKA ILI AWEZE KUPIGANIWA KWA HERUFI KUBWA.
ETI HIRIKISHO LA WATU MAKINI HALIJUI HATA TWITTER HANDLE YA TITTLE SPONSOR WAKE HUKU GSM AKIWA AMETANGULIZWA KUWA TAGGED KABLA YA NBC, WHAT A SHAME
ILA HOME SHOPPING CENTRE TUNAKUMBUKA VURUGU ZENU ZA MIAKA ILE BANDARINI AMA KWA HAKIKA MMEAMUA KUVURUGA SOKA MAANA TEAM LENU LIKIVUKA MIPAKA ROUND YA KWANZA CHALIIII
account sahihi ya NB huko twitter ni NBCTanzania achana na hiyo ya nbc-tanzania waliyo tag watu wasio na uweledi
Mbaya zaidi ni kit supplier wa li team libovu anataka akae begani kwa milioni 60 kwa mwaka ilihali kit supplier wa Simba, Vunja bei anatoa bilioni moja, ni akili za wapi hizi, VITAMBI TAYARI VIPO HAMRIDHIKI TU JAMANI?
Ukiataka uamini kuna mababa yenye vitambi vyao yanaficha dhambi zao angalia vizuri hii TAG huko twitter, huyo anayeitwa mdhamini mkuu na yeye ajiongeze sasa aongee KWA HERUFI KUBWA NA WAHUSIKA ILI AWEZE KUPIGANIWA KWA HERUFI KUBWA.
ETI HIRIKISHO LA WATU MAKINI HALIJUI HATA TWITTER HANDLE YA TITTLE SPONSOR WAKE HUKU GSM AKIWA AMETANGULIZWA KUWA TAGGED KABLA YA NBC, WHAT A SHAME
ILA HOME SHOPPING CENTRE TUNAKUMBUKA VURUGU ZENU ZA MIAKA ILE BANDARINI AMA KWA HAKIKA MMEAMUA KUVURUGA SOKA MAANA TEAM LENU LIKIVUKA MIPAKA ROUND YA KWANZA CHALIIII
account sahihi ya NB huko twitter ni NBCTanzania achana na hiyo ya nbc-tanzania waliyo tag watu wasio na uweledi