Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
TFF wamekuja na utaratibu wa kushangaza kidogo
Sisi tunaoshangilia na kuipatia hamasa timu yetu ya taifa tunatakiwa kulipa VIINGILIO ila wale ambao hawashangilii Wala kutoa hamasa ndio hawatakiwi kulipa VIINGILIO
Wenzetu wasiotoa VIINGILIO watakaa vip na vvip wakila Bata na kugonga cheers huku SS tukisisitizwa tushangilie kwa hamasa na VIINGILIO tumetoa
KARIA WALLACE HUJATUTENDEA HAKI KABISA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sisi tunaoshangilia na kuipatia hamasa timu yetu ya taifa tunatakiwa kulipa VIINGILIO ila wale ambao hawashangilii Wala kutoa hamasa ndio hawatakiwi kulipa VIINGILIO
Wenzetu wasiotoa VIINGILIO watakaa vip na vvip wakila Bata na kugonga cheers huku SS tukisisitizwa tushangilie kwa hamasa na VIINGILIO tumetoa
KARIA WALLACE HUJATUTENDEA HAKI KABISA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app