Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,208
Inawezekana kabisa Tanzania tunaviongozi wajinga ila kwa hili la kusogezwa muda mechi ya SIMBA vs YANGA itoshe kusema tunao viongozi Wajinga + Wapumbavu.
Barua inayosambaa mitandaoni ya kusogeza muda mbele hawa jamaa weshindwa hata kuomba radhi!
Barua inayosambaa mitandaoni ya kusogeza muda mbele hawa jamaa weshindwa hata kuomba radhi!