Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Shame on you boniface ,tenga and your company
kwa bila aibu bw huyu bnoniface wa tff anakiri kuhusika na kutafunwa kwa pesa ya ubingwa ya yanga na mchezaji bora wa upande wa goli kipa ambae alikuwa yaw berko..katika hali isiyotarajiwa anasema cheki ilichukuliwa na kiongozi wa yanga
alafu jamaa akawa ameenda ghana ikarudishwa tangu june..jamani jamani baada ya hapo akukuwa na anaeifwatilia
na wala sio kazi yao k uuliza kama berko amerudi kutoka ghana..bila aibu anasema unajua utaratibu wa hela una mambo yake kama wahusika awapo tunaweza kutumia kwa muda huo then tuna replace mhusika akitokea
kuhusu swala la pesa za ubingwa wa yanga anadai kwa kweli hata yeye anashindwa kujua ila anaomba atauliza kwa accountant wa tff ajue kinachoendelea unajua swala la hela lina taratibu ndefu uwezi iingiziwa pesa zikatoka ghafla
mwisho akasema yaw berko aje jumanne pale karume akachukue cheki yake...bila aibu na udhalimu boniface mnajiaibisha sana tulihisi utapeli ni wakati wa ndolanga na wambura tu sasa hata huyo tenga atuna imani nae tena kabisa kabisa
hivi mnaweza elewa ligi inaanza lini na hela tangu ziingie azijatolewa kwa wahusika ziko account ya nani??
kwa bila aibu bw huyu bnoniface wa tff anakiri kuhusika na kutafunwa kwa pesa ya ubingwa ya yanga na mchezaji bora wa upande wa goli kipa ambae alikuwa yaw berko..katika hali isiyotarajiwa anasema cheki ilichukuliwa na kiongozi wa yanga
alafu jamaa akawa ameenda ghana ikarudishwa tangu june..jamani jamani baada ya hapo akukuwa na anaeifwatilia
na wala sio kazi yao k uuliza kama berko amerudi kutoka ghana..bila aibu anasema unajua utaratibu wa hela una mambo yake kama wahusika awapo tunaweza kutumia kwa muda huo then tuna replace mhusika akitokea
kuhusu swala la pesa za ubingwa wa yanga anadai kwa kweli hata yeye anashindwa kujua ila anaomba atauliza kwa accountant wa tff ajue kinachoendelea unajua swala la hela lina taratibu ndefu uwezi iingiziwa pesa zikatoka ghafla
mwisho akasema yaw berko aje jumanne pale karume akachukue cheki yake...bila aibu na udhalimu boniface mnajiaibisha sana tulihisi utapeli ni wakati wa ndolanga na wambura tu sasa hata huyo tenga atuna imani nae tena kabisa kabisa
hivi mnaweza elewa ligi inaanza lini na hela tangu ziingie azijatolewa kwa wahusika ziko account ya nani??