Shirikisho la soka Tanzania(TFF) Limekuwa likiwanyang'anya jezi wachezaji wa Timu ya Taifa kila baada ya mechi. na kitendo cha beki wa timu ya Taifa Canavarro kubadilishana jezi na mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon-Etoo amelazimika kutozwa faini na TFF.
hivi hawajui kuwa Etoo kuchukua jezi ya Timu yetu ni kuitangaza nchi yetu?
Tff wana pata pesa nyingi sana kama kiingilio na hawana gharama zozote kwa timu kwani NMB na Serengeti wanaidhamini timu yetu, huu ni unyama unaofanywa na TFF hasa katibu mkuu Mwakalebela. habari zaidi iko gazeti la mwananchi.co.tz la leo.
hivi hawajui kuwa Etoo kuchukua jezi ya Timu yetu ni kuitangaza nchi yetu?
Tff wana pata pesa nyingi sana kama kiingilio na hawana gharama zozote kwa timu kwani NMB na Serengeti wanaidhamini timu yetu, huu ni unyama unaofanywa na TFF hasa katibu mkuu Mwakalebela. habari zaidi iko gazeti la mwananchi.co.tz la leo.