lamalu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 611
- 766
Hakuna shabiki wa utopolo anaefurahia post za Manara tena hata akipost kitu kawaida tu lazima wamtolee povu, na wewe ni miongoni mwao, pole sana! Vumilia tuAnazingua tu post zake zimejaa kuitukana yanga tu ameshindwa hata kutuambia simba wamepandisha yoso wangapi,au Simba wanasaka vipaji vya chipukizi wawapike