TFF, sakata la Morrison na kilichojificha nyuma ya pazia

Ladder 49

JF-Expert Member
Dec 19, 2017
7,416
18,856
Wakuu Habari zenu?

Hilo sakata la Morrison kusajiriwa na simba huku yanga wakidai ni mchezaji wao bado linachukua siku tatu kwenye kutolea maamuzi,Inatoa picha ya mambo mengi sana kwenye soka letu la bongo .

Inavyoonekana watoa maamuzi wa TFF wana maslahi binafsi kwenye simba na yanga ifike mahali kuwa kiongozi TFF hautakiwa kuwa na maslahi yoyote kwenye simba au kwenye yanga.

Kinachojadiliwa kinashindikana kutokana na waamuzi wa TFF ni simba na yanga wamechanganyika ndio maana maamuzi yanashindwa kutolewa kila mtu anavutia sehemu yake,TFF sio chombo huru kutoa maamuzi kati ya simba na yanga,kiasi kwamba kitoe tu maamuzi bila ya kuangalia maslahi ya simba au yanga.

Ingekuwa simba au yanga na timu zingine ndogo ingekuwa sio Habari hilo swala lingeisha ndani ya dakika 5 tu, ila kwakuwa watoa maamuzi wenyewe ndio wanaobishana ndio maaan inachukua muda wote huo huku swala zima linajulikana kabisa na namna ya kuamua Lina julikana kwakuwa nyaraka zote zipo TFF na sio kuanza tena kuchukua kwa wahusika.

Limeendelea kuchukua muda nalitaendelea kuchukua muda.

Najiuliza hivi azam Aliwe zaje kuchukua ubingwa wa ligi yetu ule mwaka maana kwenye ligi yetu ni mwendo wa simba na yanga tu.

Kuzishinda hizi timu lazima uwe simba au yanga ,sasa Safari hii wamekutana wenyewe wao kwa Wao ndio maana ngoma imekuwa ngumu.sitaona ajabu na kesho pia waka sema kesho kutwa.

Hili swala lilikuwa ni lakuamuliwa siku moja tu. Maana kila kitu kiko wazi na kinajulikana.

Ni hayo tu wakuu.
 
We ni mnijeria?
Mbona unaongea kama vile hizi timu umezikuta tu hapa nchini?

Tatizo mbona liko wazi tu.Yanga wameghushi na sasa mwamuzi ni means yanga lia lia,unatarajia nini?

Uliona wapi jana walisema vielelezo vyote vipo,leo wanasema tena yanga alete document?!!! ipi tena hiyo?

Kama mkataba upo na umesajiliwa na TFF,na upo kwenye website ya FIFA,mnataka document gani tena?
Hii ni dalili ya kukwamba maana yanga wamefanya criminal offence.Mkikosea tu,issue inaenda FIFA na mtashushwa daraja mwaka huu
 
Naona umetoa maoni kama mshabiki wa simba, na umeshatoa hukumu kabisa, punguza bangi subiri maamuz ya tff
 
Ninachofikiri mimi Yanga kwenye hili ameteleza na inabidi aadhibiwe na Simba wanakomaa kuwa yanga lazima aadhibiwe, wakati huohuo Yanga wanasema mbona Simba hakuadhibiwa kwenye suala la Ramadhani Singano basi na wao wasiadhibiwe
 
Tatizo la Morisson sio Simba wala Yanga, sio MeTL wala sio GSM. Wala sio Mashabiki. Tatizo kubwa la Morisson ambalo litaleta madhara makubwa kwenye mpira wetu wa Tanzania ni Haji Manara na TFF.

Hao viumbe wawili wasipoweza kujicontrol na TFF kumcontrol Manara mpira wa Tanzania utakuwa kituko na mwisho wa siku Tutaua timu ya Taifa.

Manara yuko tayari kuua kipaji cha timu ya Taifa kwa kuikomoa yanga huku TFF wakichekelea kama Mazuzu. Nadhani nitapingwa ila maneno yangu yatakumbukwa siku moja na Mjue Bila Simba hakuna Yanga. Na bila Yanga Simba haipo.
 
  • Thanks
Reactions: 911
Tatizo la Morisson sio Simba wala Yanga, sio MeTL wala sio GSM. Wala sio Mashabiki. Tatizo kubwa la Morisson ambalo litaleta madhara makubwa kwenye mpira wetu wa Tanzania ni Haji Manara na TFF. Hao viumbe wawili wasipoweza kujicontrol na TFF kumcontrol Manara mpira wa Tanzania utakuwa kituko na mwisho wa siku Tutaua timu ya Taifa. Manara yuko tayari kuua kipaji cha timu ya Taifa kwa kuikomoa yanga huku TFF wakichekelea kama Mazuzu. Nadhani nitapingwa ila maneno yangu yatakumbukwa siku moja na Mjue Bila Simba hakuna Yanga. Na bila Yanga Simba haipo.

Kwenye hiyo kesi Manara anahusikaje sasa au mimi ndio sijakuelewa?
 
Wakuu Habari zenu?

Hilo sakata la Morrison kusajiriwa na simba huku yanga wakidai ni mchezaji wao bado linachukua siku tatu kwenye kutolea maamuzi,Inatoa picha ya mambo mengi sana kwenye soka letu la bongo .

Inavyoonekana watoa maamuzi wa TFF wana maslahi binafsi kwenye simba na yanga ifike mahali kuwa kiongozi TFF hautakiwa kuwa na maslahi yoyote kwenye simba au kwenye yanga.

Kinachojadiliwa kinashindikana kutokana na waamuzi wa TFF ni simba na yanga wamechanganyika ndio maana maamuzi yanashindwa kutolewa kila mtu anavutia sehemu yake,TFF sio chombo huru kutoa maamuzi kati ya simba na yanga,kiasi kwamba kitoe tu maamuzi bila ya kuangalia maslahi ya simba au yanga.

Ingekuwa simba au yanga na timu zingine ndogo ingekuwa sio Habari hilo swala lingeisha ndani ya dakika 5 tu, ila kwakuwa watoa maamuzi wenyewe ndio wanaobishana ndio maaan inachukua muda wote huo huku swala zima linajulikana kabisa na namna ya kuamua Lina julikana kwakuwa nyaraka zote zipo TFF na sio kuanza tena kuchukua kwa wahusika.

Limeendelea kuchukua muda nalitaendelea kuchukua muda.

Najiuliza hivi azam Aliwe zaje kuchukua ubingwa wa ligi yetu ule mwaka maana kwenye ligi yetu ni mwendo wa simba na yanga tu.

Kuzishinda hizi timu lazima uwe simba au yanga ,sasa Safari hii wamekutana wenyewe wao kwa Wao ndio maana ngoma imekuwa ngumu.sitaona ajabu na kesho pia waka sema kesho kutwa.

Hili swala lilikuwa ni lakuamuliwa siku moja tu. Maana kila kitu kiko wazi na kinajulikana.

Ni hayo tu wakuu.
TFF ni mikia fc watupu.
 
Tatizo la Morisson sio Simba wala Yanga, sio MeTL wala sio GSM. Wala sio Mashabiki. Tatizo kubwa la Morisson ambalo litaleta madhara makubwa kwenye mpira wetu wa Tanzania ni Haji Manara na TFF. Hao viumbe wawili wasipoweza kujicontrol na TFF kumcontrol Manara mpira wa Tanzania utakuwa kituko na mwisho wa siku Tutaua timu ya Taifa. Manara yuko tayari kuua kipaji cha timu ya Taifa kwa kuikomoa yanga huku TFF wakichekelea kama Mazuzu. Nadhani nitapingwa ila maneno yangu yatakumbukwa siku moja na Mjue Bila Simba hakuna Yanga. Na bila Yanga Simba haipo.
Manara huyu hata simba hana cheo si walimtoaga kwenye kile cheo cha afisa Habari
 
Kujipendekeza kwake mno kwa Mo kunaharibu mpira wa Tanzania.
Anazingua tu post zake zimejaa kuitukana yanga tu ameshindwa hata kutuambia simba wamepandisha yoso wangapi,au Simba wanasaka vipaji vya chipukizi wawapike
 
Anazingua tu post zake zimejaa kuitukana yanga tu ameshindwa hata kutuambia simba wamepandisha yoso wangapi,au Simba wanasaka vipaji vya chipukizi wawapike
Sijakataa maana hilo ni haki yake. Atukane aseme kila kitu kibaya na majina yooote mabaya ya Yanga. Lakini aruhusu taratibu za mpira kutawala. Mihemko yote ndani ya Simba anasababisha Manara maana anajua TFF ni kama hawasemi chochote kwa simba na Mo ni mshabiki mpenda mpira tu na timu yake. Ila kujipendekeza kwingi kwa Manara wanaharibu utaratibu wa Mchezo na timu ya Taifa. Hata Ulaya timu kubwa zenye fedha lazima zidhibitiwe ili zisiharibu ubora wa ligi kama Simba na Manara wanavuofanya sasa hivi.
 
Nilizungumza hapa juzi wakati Simba anamtangaza Morison kwenye mtandao wao kuwa wamesajili, kwa nini Simba haikusubiri kesi ya Morison na Yanga iishe pale TFF halafu ndio wamtangaze kama mchezaji wao lakini watu wengi hawakunielewa. Hii kesi imekuwa ngumu kwa sababu sasa kamati na hata TFF kwa ujumla wanatafuta namna nzuri ya kuwaridhisha Simba na Yanga badala ya kuangalia haki ipo wapi. Na hilo la kamati kukwepa kuzungumiza mkataba wa mwanzo sio kwa bahati mbaya ni la makusudi ili kumuokoa mtu asifungwe kwa sababu kitendo chochote cha kughushi ni jinai. Na hili lipo wazi toka zamani tangu enzi za saini ya Athumaini Idd "Chuji" kughushiwa na hata ishu za Kambwili na Ulimboka kuhongwa jinsi zilivyomalizwa kiaina. Laiti mtu angefikishwa mahakamni kipindi kile leo tusingekuwa na hii kesi ndogo ya Morison kuamua dakika 5 lakini inachukua siku 3 bila maamuzi. Mwisho hii kamati ivunjiwe mbali na wajumbe wapigwe marufuku kuwa viongozi/ wajumbe wa TFF kwa miaka 5 ijayo.
 
Tatizo la Morisson sio Simba wala Yanga, sio MeTL wala sio GSM. Wala sio Mashabiki. Tatizo kubwa la Morisson ambalo litaleta madhara makubwa kwenye mpira wetu wa Tanzania ni Haji Manara na TFF.

Hao viumbe wawili wasipoweza kujicontrol na TFF kumcontrol Manara mpira wa Tanzania utakuwa kituko na mwisho wa siku Tutaua timu ya Taifa.

Manara yuko tayari kuua kipaji cha timu ya Taifa kwa kuikomoa yanga huku TFF wakichekelea kama Mazuzu. Nadhani nitapingwa ila maneno yangu yatakumbukwa siku moja na Mjue Bila Simba hakuna Yanga. Na bila Yanga Simba haipo.

Ulitaka kusema nini kwa mfano? Manake umelalamika tu Manara, TFF lakini umeshindwa kushusha points yakuwa Manara kafanyaje! Na TFF kafantaje!!
Kulialia sio suluhisho, onesha wapi Manara anaharibu coz manara mdomo wake ni kwenye Instgram tu, nje ya hapo hana mamlaka hata ya kugusa mlango wa ofisi za TFF.
 
Sijakataa maana hilo ni haki yake. Atukane aseme kila kitu kibaya na majina yooote mabaya ya Yanga. Lakini aruhusu taratibu za mpira kutawala. Mihemko yote ndani ya Simba anasababisha Manara maana anajua TFF ni kama hawasemi chochote kwa simba na Mo ni mshabiki mpenda mpira tu na timu yake. Ila kujipendekeza kwingi kwa Manara wanaharibu utaratibu wa Mchezo na timu ya Taifa. Hata Ulaya timu kubwa zenye fedha lazima zidhibitiwe ili zisiharibu ubora wa ligi kama Simba na Manara wanavuofanya sasa hivi.

Acha Wivu wa Kike Kijana! Yani umeacha kazi unalialia eti Manara anajipendekeza kwa MO? Nawewe si kajipendekeze kwani umezuiwa?
Mtu pale kaajiriwa na analinda Kibarua chake ulitaka ajipendekeze kwa GSM?

Halafu wewe ni Mtu wa ajabu kweli! Eti manara anaharibu Timu ya Taifa!

Manara ndiye anayechagua Wachezaji wa Timu ya Taifa?
Manara ndiye anaeajiri Kocha na Benchi la Ufundi?
Manara ndiye anayeweka Timu kambini?
Manara ndiye anayeratibu maandalizi ya Timu ya Taifa?
Manara ndiye aliyewateua Bashite, Wema Sepetu na Pierre Liquid kuwa ndiyo kamati ya ushindi ya Timu ya Taifa?
Au manara ndiye anayegawa points za Timu za Ligi Kuu?

Andika mambo yenye kumake sense na punguza Wivu.
 
Tatizo la Morisson sio Simba wala Yanga, sio MeTL wala sio GSM. Wala sio Mashabiki. Tatizo kubwa la Morisson ambalo litaleta madhara makubwa kwenye mpira wetu wa Tanzania ni Haji Manara na TFF.

Hao viumbe wawili wasipoweza kujicontrol na TFF kumcontrol Manara mpira wa Tanzania utakuwa kituko na mwisho wa siku Tutaua timu ya Taifa.

Manara yuko tayari kuua kipaji cha timu ya Taifa kwa kuikomoa yanga huku TFF wakichekelea kama Mazuzu. Nadhani nitapingwa ila maneno yangu yatakumbukwa siku moja na Mjue Bila Simba hakuna Yanga. Na bila Yanga Simba haipo.
Manara hana uwezo wa kuua soka la Tz yeye ni msemaji wa simba tu, unamkuza mno na pia hawezi kuwa sehemu ya tatizo.
 
Acha Wivu wa Kike Kijana! Yani umeacha kazi unalialia eti Manara anajipendekeza kwa MO? Nawewe si kajipendekeze kwani umezuiwa?
Mtu pale kaajiriwa na analinda Kibarua chake ulitaka ajipendekeze kwa GSM?

Halafu wewe ni Mtu wa ajabu kweli! Eti manara anaharibu Timu ya Taifa!

Manara ndiye anayechagua Wachezaji wa Timu ya Taifa?
Manara ndiye anaeajiri Kocha na Benchi la Ufundi?
Manara ndiye anayeweka Timu kambini?
Manara ndiye anayeratibu maandalizi ya Timu ya Taifa?
Manara ndiye aliyewateua Bashite, Wema Sepetu na Pierre Liquid kuwa ndiyo kamati ya ushindi ya Timu ya Taifa?
Au manara ndiye anayegawa points za Timu za Ligi Kuu?

Andika mambo yenye kumake sense na punguza Wivu.
Nimesoma tu mpaka pale uliposema nimeacha kazi nikaachia hapo hapo. Unaandika kana kwamba unanifahamuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom