TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,667
- 1,566
Nina pingamizi dhidi ya malinziKamaaaa una pingamizi lolote kwa mgombea wa tff muda ndio huo ikipita 27june awapokei tena (angalizotu)..
Baada yahapo wataendelea na usaili ambapo jun 29 wahusika wataleta vyeti hslisi vikaguliwe na baadae wataendelea na mengineyoo
Mtaarifu na mwenzio