Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,916
Umaskin wa vilabu unatokana na uzembe wa viongoz wa klabu husika,wengi wao si wabunifu wanategemea kwa kiwango kikubwa ufadhil wa NBC na azam pamoja na mapato ya mlangon tu
Unataka niambie Dstv wangeshindwa?Sina shaka hata chembe juu ya uwezo na commitment ya Azam Sports, na ukweli ni kwamba, ingawaje mkataba ni mrefu sana lakini sioni any tv station or media house ambayo ingeweza kufanya ilichofanya Azam Media in terms of ukubwa wa ufadhili (monetary value) na commitment ya kuhakikisha wanaonesha karibu kila mechi! Hakuna kwa sasa ambae angeweza kufanya anayofanya Azam
Hakuna tv hapa bongo yenye uwezo wa kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mpira zaidi ya azam,, unajua bei ya camera moja tu pale uwanjani?? Mana umeandika kwa chuki na ghababu au wewe unajua tff ndio wanarusha mpira?? Hizo tv hata kama zitapewa hiyo haki lkn sharti wajiunge na azam kurusha hayo matangazo la sivyo wafunge camera zao uwanjani na ndio maana hili jambo linakuwa gumu,,,Kwa ufupi tu naomba vyombo vinavyohusika na michezo na RUSHWA WACHUNGUZE MKATABA KATIKA YA TFF NA TV MOJA KURUSHA LIVE MATANGAZO YA LIGI KUU TENA KWA MIAKA 10.GHARAMA WALIZOLIPA NI TAKRIBAN BILLIONI 200 NA USHEE.DUNIANI KOTE HAKUNA TV MOJA INAYOPEWA HAKI BILA YA KUZISHINDANISHI TV ZINGINE.TUNAO STAR TIMES,DSTV, AMBAO INASEMEKANA WALIOMBA LAKINI WAKAKATALIWA.NDIO MAANA TIMU NYINGI NI MASIKINI KWANI HAWAWEZI KUSHINDANA NA TIMU KUBWA SIMBA NA YANGA.ILITAKIWA IWE HIVI ,WOTE HAWA 3 WANAPEWA HAKI KWA KILA TV KUTOA OFA HALAFU WANAPEWA MICHEZO YA KUONYESHA KUTOKANA NA MALIPO.UKIWAJUMLISHA HAWA 3,MFANO AZAM ATATOA BILIONI 200,STAR TIMES BILIONI 200,DSTV BILLIONI 300,JUMLA UNAPATA HAKI ZA MATANGAZO PEKEE BILIONI 700.BADO KUNA PESA ZA WADHAMINI WENGINE KAMA NBC N.K TIMU ZENYE MAPATO MADOGO YATAFAIDIKA SANA.ANGALIA LIGI KUU YA UINGEREZA AMBAYO NI GHALI DUNIANI TIMU ZOTE 18 ZINAFAIDIKA NA MATANGAZO YA TV PEKEE.WAMESHINDANISHWA HIVYO DAU LIKAPANDA SANA.LIGI HIYO ALMAARUFU PREMIER LEAGUE MATANGAZO PEKEE YA TV YANAWAINGIZIA DOLA BILIONI 12.MCHAKATO WAO NI WA MIAKA 3 MITATU TU,SIO KUMI KAMA WA TFF,KARIA NA AZAM.SKYSPORTS WANA ASILIMIA 60,BT SPORTS 20 NA AMAZON 20.HUU MKATABA WA MIAKA 10 WA KARIA,TFF NA AZAM TENA KWA MIAKA 10 UNATIA SHAKA SANA.DAIMA YANGA,SIMBA,AZAM NDIO WATAKAOTAWALA.ISITOSHE WAN'GEGAWANYA KWA TV HIZI 3 AJIRA NYINGI ZINGEPATIKANA.PIA TUNA DSTV AMBAO WANAONEKANA HADI ULAYA,KODI ZINGEONGEZEKA.JAMANI WAZIRI WA MICHEZO AMKA TWENDE NA SPIDI YA DUNIA YA SASA.NAOMBA TENA WAHUSIKA WALICHUNGUZE HILI SUALA.FOOTBALL IS TOP BUSINESS EARNER DUNIANI.HATA TRA AMKENI.NAOMBA KUWASILISHA.
Kurusha matangazo walishindanishwa na tangazo liliwekwa humu tafuta utalionaNilivyomwelewa mtoa mada, issue sio TV Rights kupewa kituo kimoja bali kutoa TV Rights bila kushindanisha! Kwamba, je TFF just picked Azam na kupewa hizo tv rights au Azam, Star Times, DStv, na wengineo walishindanishwa lakini Azam ndo akaibuka kidedea?! Na kama hawashindanishi, basi jamaa ana hoja!! Na ukiwasikia TFF walivyoingia mkataba na GSM kuna kila dalili hakuna kushindanisha kwa sababu, kama na kwa Azam walipiga hodi kuomba udhamini kama walivyofanya kwa GSM, ina maana hapakuwa na ushindanishi wowote ule.
Hata hivyo, hoja ni kama kweli ziliwepo taasisi zingine kama hao DSTV ambao nao walitaka hizo tv rights lakini TFF wakafunga vioo?!
Kwani Dstv na Azam nani mkongwe hapa tz? Walikuwa wapi siku zote? Wao wanaona hii ni biashara kichaa ndio maana huwaoni huko
Azam wenyewe Wana camera za kizamani,angalia picha zao zinavyoonekana zimefifia rangi,Hakuna kituo chenye camera wala ujuzi wa kurusha mpira live zaidi ya azam acha ujinga
Afadhali azam TV nenda kaangalie ligi ya Kenya ndio utazima tvAzam wenyewe Wana camera za kizamani,angalia picha zao zinavyoonekana zimefifia rangi,
Channel mbona zinazidi kuongezwa kwanzia jana tarehe 1 imeeongezwa channel mpya Azam sportHD3 imewashwaDstv walishawahi kushindanishwa wakachemka kwa Azam kwa dau na idadi ya mechi watakozoonesha Kama una Dstv kwako angalia ligi za Afrika wanazoonesha na idadi ya mechi kwenye ligi husika, Azam anaupiga Mwingi anatuonesha hata mechi ambazo ni za kawaida kabisa ambapo DStv wasingezionesha
Azam wamejitahidi kuutangaza mpira wetu ndani na nje ya nchi wana Channel mbili za mpira wa ndani ambapo Tv za TBC, ITV, GO TV walishindwa kuonesha, wamepangilia mechi kiasi kwamba tunaziona zote nachowaomba Azam ni kuongeza channel ya 3 ili waondoe mechi za saa 8 mchana haswa katika ukanda wa pwani hazina maana kwasababu ya jua na joto kali, hivyo mechi ziwe zinaanza saa 10 jioni hadi saa 6 usiku maana maeneo kama Dodoma mechi inaweza kuanza saa 4 usiku kwasababu hakuna foleni kali na mji haujapanuka sana na hata pale Mbeye CCm ikiweka taa kwenye uwanja wao basi tunaweza kuangalia mechi hadi saa 6 usiku
kitendo ch kutuandikia kwa herufi kubwa hiyo ni sawa na kutufokea, huna adabu.Kwa ufupi tu naomba vyombo vinavyohusika na michezo na RUSHWA WACHUNGUZE MKATABA KATIKA YA TFF NA TV MOJA KURUSHA LIVE MATANGAZO YA LIGI KUU TENA KWA MIAKA 10.GHARAMA WALIZOLIPA NI TAKRIBAN BILLIONI 200 NA USHEE.DUNIANI KOTE HAKUNA TV MOJA INAYOPEWA HAKI BILA YA KUZISHINDANISHI TV ZINGINE.TUNAO STAR TIMES,DSTV, AMBAO INASEMEKANA WALIOMBA LAKINI WAKAKATALIWA.NDIO MAANA TIMU NYINGI NI MASIKINI KWANI HAWAWEZI KUSHINDANA NA TIMU KUBWA SIMBA NA YANGA.ILITAKIWA IWE HIVI ,WOTE HAWA 3 WANAPEWA HAKI KWA KILA TV KUTOA OFA HALAFU WANAPEWA MICHEZO YA KUONYESHA KUTOKANA NA MALIPO.UKIWAJUMLISHA HAWA 3,MFANO AZAM ATATOA BILIONI 200,STAR TIMES BILIONI 200,DSTV BILLIONI 300,JUMLA UNAPATA HAKI ZA MATANGAZO PEKEE BILIONI 700.BADO KUNA PESA ZA WADHAMINI WENGINE KAMA NBC N.K TIMU ZENYE MAPATO MADOGO YATAFAIDIKA SANA.ANGALIA LIGI KUU YA UINGEREZA AMBAYO NI GHALI DUNIANI TIMU ZOTE 18 ZINAFAIDIKA NA MATANGAZO YA TV PEKEE.WAMESHINDANISHWA HIVYO DAU LIKAPANDA SANA.LIGI HIYO ALMAARUFU PREMIER LEAGUE MATANGAZO PEKEE YA TV YANAWAINGIZIA DOLA BILIONI 12.MCHAKATO WAO NI WA MIAKA 3 MITATU TU,SIO KUMI KAMA WA TFF,KARIA NA AZAM.SKYSPORTS WANA ASILIMIA 60,BT SPORTS 20 NA AMAZON 20.HUU MKATABA WA MIAKA 10 WA KARIA,TFF NA AZAM TENA KWA MIAKA 10 UNATIA SHAKA SANA.DAIMA YANGA,SIMBA,AZAM NDIO WATAKAOTAWALA.ISITOSHE WAN'GEGAWANYA KWA TV HIZI 3 AJIRA NYINGI ZINGEPATIKANA.PIA TUNA DSTV AMBAO WANAONEKANA HADI ULAYA,KODI ZINGEONGEZEKA.JAMANI WAZIRI WA MICHEZO AMKA TWENDE NA SPIDI YA DUNIA YA SASA.NAOMBA TENA WAHUSIKA WALICHUNGUZE HILI SUALA.FOOTBALL IS TOP BUSINESS EARNER DUNIANI.HATA TRA AMKENI.NAOMBA KUWASILISHA.
Azam gani yenye camera za kizamani unayo izungumzia wewe? Azam channel zote za Mpira ni HD hakuna picha inayofifia ila ni mandhari na pitch mbovu ya viwanja vya mikoaniAzam wenyewe Wana camera za kizamani,angalia picha zao zinavyoonekana zimefifia rangi,
exactly. niliwahi kuambiwa sababu za dstv kukosa kushinda tena ya kuonyesha mpira waDstv walishawahi kushindanishwa wakachemka kwa Azam kwa dau na idadi ya mechi watakozoonesha Kama una Dstv kwako angalia ligi za Afrika wanazoonesha na idadi ya mechi kwenye ligi husika, Azam anaupiga Mwingi anatuonesha hata mechi ambazo ni za kawaida kabisa ambapo DStv wasingezionesha
Hakuna kituo chenye camera wala ujuzi wa kurusha mpira live zaidi ya azam acha ujinga