rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,161
- 20,086
Tulipolalamika juu ya refa wa Prison na Simba ulikuwa unamtetea refa sasa jana kachezesha refa bora kafanya utumbo ndio maana caf na fifa hawachukui marefa wa Tanzania
Ndugu subiri kipigo/sare ya Ruvu shooting kwanza kesho ndio tutazungumza!
Kesho afe Mmaasai au Mmang'ati ni lazima Simba SC 'tushinde' japo najua 'Mechi' itakuwa 'ngumu' kwani Timu za 'Jeshi' zinacheza 'Kimedani' sana.
hahaha
Acha kuchekesha aisee
Kesho afe Mmaasai au Mmang'ati ni lazima Simba SC 'tushinde' japo najua 'Mechi' itakuwa 'ngumu' kwani Timu za 'Jeshi' zinacheza 'Kimedani' sana.
TehNdugu subiri kipigo/sare ya Ruvu shooting kwanza kesho ndio tutazungumza!
PumbaEndeleeni tu 'Kuwanyamazia' hawa 'Waamuzi' wenu na 'Maupuuzi' yao Uwanjani kama huyu wa Leo kati ya Yanga SC na KMC ili Siku akina GENTAMYCINE wenye 'Historia' za 'Kuwakung'uta' hawa 'Waamuzi' Mipirani turejee hizi 'tabia' labda mtalizingatia. Sina tatizo na Yanga SC 'Kushinda' leo ila 'Hasira' zangu hasa zipo kwa 'Mwamuzi' kwa Kutoa 'Penati' ya 'Uwongo' kwa Yanga SC.
Rais wa TFF Karia, Makamu wako Nyamlani, Katibu Kidau na Msemaji wa Serikali Dk. Abbas najua mnanisoma mno hapa JF kuweni makini. Inakera!
Mmasau au mmang'ati kafa?Kesho afe Mmaasai au Mmang'ati ni lazima Simba SC 'tushinde' japo najua 'Mechi' itakuwa 'ngumu' kwani Timu za 'Jeshi' zinacheza 'Kimedani' sana.
sana vinachekesha mno..tunashukuru lakini ligi imeisha, bingwa ruvu shooting.Vichekesho bado vinakuchekesha mkuu?
Leo tumepigiwa 'Pira Ngongingo' na Ruvu Shooting Mkuu. Kuna 'Uzi' naenda Kuanzisha muda si mrefu kuwapeni nini tatizo Kuu kwa sasa Simba SC.Nje ya mada mkuu VP kesho tujiandae na pira lipi
Kashata
Katilesi
Kachori
Birian
Pilau
Kande
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Huyo a na tafuta kiki tu.Hivi ni nani aliyekuwa anamtetea mwamuzi Shomari Lawi ,kwa madudu aliyoyafanya kwenye game ya Prison vs Simba, kama si huyu huyu GENTAMYCINE?
Utopolo wote walikuunga mkono siku ile ila leo hapa hawako upande wako kabisa, na nilijua tu kwamba haya yangetokea.
Ulinishangaza sana siku ile.