NGARUKA
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 401
- 70
Jamani kama umefuatilia tuzo za VPL jana,kuna kitu kilicho nishangaza hasa tuzo ya Mchezaji bora wa ligi et ni Tchetche wa Azam. kulingana na watu aliopambanishwa nao akina Matogolo ni halali yake lakini TFF na Azam hawakuona nominee wengine bora.
Mfano la Liga umchukue Neyma,umpambanishe na Morata na Villa si kura atapewa Neyma. Katka tuzo hakuna BALANCING ingawa mimi Shabiki wa Yanga lakini yule mfungaji bora angestahili kabisa kuwa Mchezaji bora wa VPL.
Ngoja niwaambie Yanga na Simba ziliua mwili wa soka la Tanzania lakini Makampuni ya Azam na timu yao kwa kutumia pesa zao Wataua MWILI NA ROHO YA SOKA la Tanzania. na kwa mtindo huu soka letu liwe la HAPAHAPA TU.
Kwa hali hii ni heri kukaa kuangalia Arsenal anacheza na QPR kuliko kwenda uwanja wa taifa. Huko wawapeleke wafanyakazi wa Azam group. Ukiangalia namna Supersport inavyokuza soka la A.kusini licha ya kuwa na timu ligi kuU utaona Madudu ya Azam Group.
Mfano la Liga umchukue Neyma,umpambanishe na Morata na Villa si kura atapewa Neyma. Katka tuzo hakuna BALANCING ingawa mimi Shabiki wa Yanga lakini yule mfungaji bora angestahili kabisa kuwa Mchezaji bora wa VPL.
Ngoja niwaambie Yanga na Simba ziliua mwili wa soka la Tanzania lakini Makampuni ya Azam na timu yao kwa kutumia pesa zao Wataua MWILI NA ROHO YA SOKA la Tanzania. na kwa mtindo huu soka letu liwe la HAPAHAPA TU.
Kwa hali hii ni heri kukaa kuangalia Arsenal anacheza na QPR kuliko kwenda uwanja wa taifa. Huko wawapeleke wafanyakazi wa Azam group. Ukiangalia namna Supersport inavyokuza soka la A.kusini licha ya kuwa na timu ligi kuU utaona Madudu ya Azam Group.