Umepitia sehemu zote ukahakikisha Dismas alikuwa wa kwanza?Alipo Andika kwa Mara ya kwanza msemaji wa Yanga Dismas Teni ,huu upuuzi wa kuwekewa sumu,nilitegemea TFF mngemtaka Athibitishe mkakaa kimya, sasa hili limeshakuwa tatizo kila timu itakayo fungwa nyumbani itasingizia sumu, usije shangaa hata timu ya taifa ya Uganda ikatokea hivyo.
Kocha na msemaji wa yanga wanahusika kwa %kubwa kwa uzushi huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezi kuyapuuza kwasababu zahera kayameza ivyo ivyo nae kaeneza propaganda kwa Wacongo wenzie wanatoa shutuma kwenye mitandao ya udaku...Umepitia sehemu zote ukahakikisha Dismas alikuwa wa kwanza?
After all, kama hayana ukweli, shida iko wapi? Si muyapuuze tu?
Uwezi kuyapuuza kwasababu zahera kayameza ivyo ivyo nae kaeneza propaganda kwa Wacongo wenzie wanatoa shutuma kwenye mitandao ya udaku...Umepitia sehemu zote ukahakikisha Dismas alikuwa wa kwanza?
After all, kama hayana ukweli, shida iko wapi? Si muyapuuze tu?
Point yako ni nini hapa? Hiyo sumu inafanya kazi dk. 80 na kuendelea?Nkana,soura,ahly na mazembe wote hawa wamefungwa goli kipindi cha pili mwishoni mwishoni,ebu jiongezeni hapo mikia
KIMA /NYANI??FAFANUAAAAAlipo Andika kwa Mara ya kwanza msemaji wa Yanga Dismas Teni ,huu upuuzi wa kuwekewa sumu,nilitegemea TFF mngemtaka Athibitishe mkakaa kimya, sasa hili limeshakuwa tatizo kila timu itakayo fungwa nyumbani itasingizia sumu, usije shangaa hata timu ya taifa ya Uganda ikatokea hivyo.
Kocha na msemaji wa yanga wanahusika kwa %kubwa kwa uzushi huu
Sent using Jamii Forums mobile app