Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Alipo Andika kwa Mara ya kwanza msemaji wa Yanga Dismas Teni ,huu upuuzi wa kuwekewa sumu,nilitegemea TFF mngemtaka Athibitishe mkakaa kimya, sasa hili limeshakuwa tatizo kila timu itakayo fungwa nyumbani itasingizia sumu, usije shangaa hata timu ya taifa ya Uganda ikatokea hivyo.
Kocha na msemaji wa yanga wanahusika kwa %kubwa kwa uzushi huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha na msemaji wa yanga wanahusika kwa %kubwa kwa uzushi huu
Sent using Jamii Forums mobile app