baraka bb
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 2,691
- 3,858
Habari wana futiboli wenzangu
Mimi ni Simba damu ila naona umuhimu wa leo Yanga kushinda ili akachukue hili kombe akawakilishe kimataifa mnajua kwanini.
Simba tayari kashakata tiketi ya kucheza kimataifa so kama atashinda leo hiyo itakuwa imeipeleka Namungo moja kwa moja kucheza kimataifa kitu ambacho sio sahihi, hawa Namungo wataanza kutusumbua nauli kwenda Senegal, Sudan na nk. halafu waende huko wapigwe 10 bila.
TFF fanyeni kila linalowezekana leo Yanga ishinde kwa maslahi mapana ya Taifa
Wako mtiifu kwa ujenzi wa Taifa
Baraka bb, Simba damu
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Mimi ni Simba damu ila naona umuhimu wa leo Yanga kushinda ili akachukue hili kombe akawakilishe kimataifa mnajua kwanini.
Simba tayari kashakata tiketi ya kucheza kimataifa so kama atashinda leo hiyo itakuwa imeipeleka Namungo moja kwa moja kucheza kimataifa kitu ambacho sio sahihi, hawa Namungo wataanza kutusumbua nauli kwenda Senegal, Sudan na nk. halafu waende huko wapigwe 10 bila.
TFF fanyeni kila linalowezekana leo Yanga ishinde kwa maslahi mapana ya Taifa
Wako mtiifu kwa ujenzi wa Taifa
Baraka bb, Simba damu
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app