Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
Nikiangalia sura za baadhi ya wagombea sioni tumaini kwenye soka la Tanzania.
Naziona njaa na ulafi.
Naona mambo ya ushabiki ambayo sidhani kama yataleta tija kwenye soka letu.
Na hawa wazee wanatafuta nn kwenye uchaguzi...vijana hamna?
Sioni sura/ dhamira itakayoleta ahueni kwenye soka la TANZANIA.
Nashauri viongozi wa TFF wawe na probation period..atleast mwaka mmoja kama watumishi wengine..na kuwe na appraisal ili kama mtu haperform aweze kuenguliwa.
TFF kisiwe ni kijiwe cha ulaji ..Nawasilisha.
Naziona njaa na ulafi.
Naona mambo ya ushabiki ambayo sidhani kama yataleta tija kwenye soka letu.
Na hawa wazee wanatafuta nn kwenye uchaguzi...vijana hamna?
Sioni sura/ dhamira itakayoleta ahueni kwenye soka la TANZANIA.
Nashauri viongozi wa TFF wawe na probation period..atleast mwaka mmoja kama watumishi wengine..na kuwe na appraisal ili kama mtu haperform aweze kuenguliwa.
TFF kisiwe ni kijiwe cha ulaji ..Nawasilisha.