kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,716
- 13,185
Kama kuingizwa mliingizwa mashindanoni subirini Simba Tena ,jipangeni
Kama viporo vitaleta tena timu nne mwakani, acha viwepo tu, ni kwa manufaa ya taifa. Yanga tafuteni mechi ya kirafiki nje ya nchi, mtatengewa kiporo chenu mkitakaTayari TFF (Wallace Karia) imekwishaanza kuweka mazingira ya kuzalisha viporo kwenye ligi. Yaani ndio kama hivyo, mapeeeeeemaaaaa!
Kwa hiyo Yanga ikishinda mechi ilizotangulia, inaathiri vipi uchezaji wa Simba kwenye viporo? Kila mtu ashinde mechi zake, halafu hesabu zipigweMasahabiki wengi wa Simba wanafurahia sana ratiba kusogezwa mbele lakini wanasahau kuwa mwaka huu timu zipo vizuri sana na hasa mtani wao Yanga kwa hiyo iwapo Yanga atakuwa kashinda mechi zake hapo ndipo balaa litakapoanza kwa mashabiki,
Mijitu inajilegeza legeza, hata ilipobebwa ikaona haitoshi ikaendelea kujilegeza ili ije ianze kulalamika Simba anabebwa na viporo tumbafu.Ilibidi Yanga wawepo kwenye hii ligi ili nao wafaidi viporo
Simba si ni timu Kubwa, wanashindwaje kukodi Ndege?Ni mizunguko ya mechi mbili tu ambazo zimepita tangu ligi kuu Tanzania bara ya msimu wa 2021/22 ianze.
Tayari TFF (Wallace Karia) imekwishaanza kuweka mazingira ya kuzalisha viporo kwenye ligi. Yaani ndio kama hivyo, mapeeeeeemaaaaa!
Hebu fikiria. Ratiba ya mechi ya inapelekwa mbele siku saba (7) zaidi ili kufidia changamoto ya usafiri wa kurudi nchini ambayo itawafanya wakawie siku moja (1) tu.
Ikumbukwe. Simba SC wanacheza tarehe 17 huko Botswana na mechi ya ligi kuu ni tarehe 20. Hivyo basi hayo masaa 72 za hapo katikati hayawatoshi Simba SC kufika Dar kwa wakati na kucheza na Police Tanzania FC kwa Mkapa?
View attachment 1972314
Mbona mapema hivi kinyume na nilivyodhani? Nilikiaminisha kubwa Karia ataanza kulaumiwa angalau kuanza kufikia Desemba lakini imetokea mapema.
Sasa kama Simba hawahitaji hiyo game fitness, iweje wewe mshabiki mtopolo uionee huruma Simba eti unataka iwe na game fitness? Hilo ni suala la kiufundi, waachie wenyewe, wewe tafuta game fitness na JKUMimi nadhani issue sio kulalamika, ila simba wanahitaji Game fitness kabla ya hizo game za CAF champions league coz inaweza ikawa advantage kwao
Sawa mashikolo mageniSasa kama Simba hawahitaji hiyo game fitness, iweje wewe mshabiki mtopolo uionee huruma Simba eti unataka iwe na game fitness? Hilo ni suala la kiufundi, waachie wenyewe, wewe tafuta game fitness na JKU
Kwa hiyo hata boss wake wasasa hayumoSijui kwanini kila time wenzako wanapo jaribu kutumia nguvu kubwa kuwaaminisha watu kua sio kweli kwa kauli ya manara aliyodai mashabiki wa yanga wenye utimamu ni baba yake na kikwete peke yao, wewe umekua mstari wa mbele kuwakatisha tamaa wenzako?
Yaani unaangalia kukodi Ndege tu.Simba si ni timu Kubwa, wanashindwaje kukodi Ndege?