TFF Ishaanza Kuwasetia Simba SC Viporo Kwenye NBC Premier League

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Ni mizunguko ya mechi mbili tu ambazo zimepita tangu ligi kuu Tanzania bara ya msimu wa 2021/22 ianze.

Tayari TFF (Wallace Karia) imekwishaanza kuweka mazingira ya kuzalisha viporo kwenye ligi. Yaani ndio kama hivyo, mapeeeeeemaaaaa!

Hebu fikiria. Ratiba ya mechi ya inapelekwa mbele siku saba (7) zaidi ili kufidia changamoto ya usafiri wa kurudi nchini ambayo itawafanya wakawie siku moja (1) tu.

Ikumbukwe. Simba SC wanacheza tarehe 17 huko Botswana na mechi ya ligi kuu ni tarehe 20. Hivyo basi hayo masaa 72 za hapo katikati hayawatoshi Simba SC kufika Dar kwa wakati na kucheza na Police Tanzania FC kwa Mkapa?

FBg8Qy0WEAgGMAP.jpg
 
Sijui kwanini kila time wenzako wanapo jaribu kutumia nguvu kubwa kuwaaminisha watu kua sio kweli kwa kauli ya manara aliyodai mashabiki wa yanga wenye utimamu ni baba yake na kikwete peke yao, wewe umekua mstari wa mbele kuwakatisha tamaa wenzako?
 
Back
Top Bottom