Kumekuwa na tatizo la mashabiki kupigwa uwanjani hasa wa Simba waingiapo mechi za Yanga. Kuhusu uchunguzi wa sababu za vurugu hizo TFF anzieni hapa.
1/Wapo mashabiki wa timu moja ni wakorofi sana ila wamejipa jina la unyonge. Mashabiki hawa wanapenda ku attack personally lakini wakipigwa watasema club yao imepigwa. Hawa wana attack watu personally kwa matusi lakini wakipigwa au kudhihakiwa wanaenda kujificha nyuma ya kivuli cha Club, dini au ulemavu wao.
2/TFF waangalie pia namna gani wanavilea hivi vilabu, je haki inatendeka wao wanapotoa maamuzi kwa vilabu hivyo? Tumeona mara kadhaa klabu moja kupewa adhabu wakati nyingine hazipewi kwa makosa yanayofanana. Hii inapelekea kundi moja kuona haina haki kwa baba yao hivyo kuanza kujichukukulia sheria mikononi.
Note:
Simba na Yanga ni watani wa jadi wenye uhasimu mkubwa tangu zamani, kama watu wanajiua endapo timu moja inafungwa watashindwa kukuua wewe pale hisia za namna hiyo zinapowapata? Hivyo tujadili namna nzuri ya kuingia kwenye mechi za watani hawa na kuheshimu hisia za watu.
1/Wapo mashabiki wa timu moja ni wakorofi sana ila wamejipa jina la unyonge. Mashabiki hawa wanapenda ku attack personally lakini wakipigwa watasema club yao imepigwa. Hawa wana attack watu personally kwa matusi lakini wakipigwa au kudhihakiwa wanaenda kujificha nyuma ya kivuli cha Club, dini au ulemavu wao.
2/TFF waangalie pia namna gani wanavilea hivi vilabu, je haki inatendeka wao wanapotoa maamuzi kwa vilabu hivyo? Tumeona mara kadhaa klabu moja kupewa adhabu wakati nyingine hazipewi kwa makosa yanayofanana. Hii inapelekea kundi moja kuona haina haki kwa baba yao hivyo kuanza kujichukukulia sheria mikononi.
Note:
Simba na Yanga ni watani wa jadi wenye uhasimu mkubwa tangu zamani, kama watu wanajiua endapo timu moja inafungwa watashindwa kukuua wewe pale hisia za namna hiyo zinapowapata? Hivyo tujadili namna nzuri ya kuingia kwenye mechi za watani hawa na kuheshimu hisia za watu.