Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,387
- 21,874
Ni vipi duka moja linadaiwa kodi moja mara mbili! Kodi hiyo ni ile ya jengo ambalo mwenye duka amepanga ikiitwa WITHHOLDING TAX. Kodi hii kwanza haistahili kulipa na mpangaji kwani haitawezekana mwenye nyumba kumrejeshea mpangaji wake, mfanyabiashara asilipishwe.