sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Wandugu natumai mu wazima wa afya.
Nahitaji msaada wa kitaalamu kuhusu hizi tezi za pua.
Nina mtoto wa miaka miwili amekuwa akisumbuliwa na mafua kwa muda mrefu tangu akiwa na wiki mbili, ila kila nikimpeleka hospital anapewa tu dawa za mafua na kikohozi akimaliza atakaa kama wiki then yanaanza upya. wiki tatu zilizopita daktari wa watoto akanishauri nimpeleke kwa ENT specialist of which jana ndo nikampeleka. Mtoto akafanyiwa xray na kuchunguzwa na doctor then nikaambiwa ana uvimbe mkubwa kwenye pu inabidi surgery..nikifikiria surgery kwa kweli nasikia kuumwa kabla sijampeleka.
kama kuna anayefahamu inakuwaje na hii surgey haina madhara baadaye kwa mtoto?na hizo uvimbe zinaletwa na nini.. Please help!!niko kwenye wakato mgumu wa kufanya maamuzi ila sitaki kuyajutia baadae.
Natanguliza shukrani.
sweetdada
Nahitaji msaada wa kitaalamu kuhusu hizi tezi za pua.
Nina mtoto wa miaka miwili amekuwa akisumbuliwa na mafua kwa muda mrefu tangu akiwa na wiki mbili, ila kila nikimpeleka hospital anapewa tu dawa za mafua na kikohozi akimaliza atakaa kama wiki then yanaanza upya. wiki tatu zilizopita daktari wa watoto akanishauri nimpeleke kwa ENT specialist of which jana ndo nikampeleka. Mtoto akafanyiwa xray na kuchunguzwa na doctor then nikaambiwa ana uvimbe mkubwa kwenye pu inabidi surgery..nikifikiria surgery kwa kweli nasikia kuumwa kabla sijampeleka.
kama kuna anayefahamu inakuwaje na hii surgey haina madhara baadaye kwa mtoto?na hizo uvimbe zinaletwa na nini.. Please help!!niko kwenye wakato mgumu wa kufanya maamuzi ila sitaki kuyajutia baadae.
Natanguliza shukrani.
sweetdada