TEUZI: Rais Samia Suluhu ateua Majaji wa Mahakama ya Rufani, Majaji wa Mahakama Kuu. DPP Mganga ateuliwa kuwa Jaji

Director of Public Prosecutions
(1) There shall be a Director of Public Prosecutions who shall be appointed by the President from amongst persons with qualifications specified in subarticle (2) of Article 59 and has continuously held those qualifications for a period of not less than ten years.
(2) The Director of Public Prosecutions shall have powers to institute, prosecute and supervise all criminal prosecutions in the country.
(3) The powers of the Director of Public Prosecutions under subarticle (2), may be exercised by him in person or on his directions, by officers under him, or any other officers who discharge these duties under his instructions.
(4) In exercising his powers, the Director of Public Prosecutions shall be free, shall not be interfered with by any person or with any authority and shall have regard to the following -
  1. the need to dispensing justice;
  2. prevention of misuse of procedures for dispensing justice;
  3. public interest.
(5) The Director of Public Prosecutions shall exercise his powers as may be prescribed by any law enacted or to be enacted by the Parliament.
 
Mwambie Bi Mkubwa akakague mradi wa treni umefikia asilimia 70, asimwachie tuuuu Dkt Kadogosa. Aende pia Rufiji akakague mradi wa umeme. Bi Mkubwa achana na mambo ya makaratasi. JK alishindwa hivyo kwa nadharia za mezani. JPM ulisema ni mwalimu wako --- yaani ulichojifunza kwake ni kukalia hiko kiti tuuu labda na hiyo red peni!??? Nenda hata kuleeeee Imbigilasole ukakague ule mradi mlioahidi na bosi wako kwenye kampeni last year, sawa!???
Kukagua miradi ni kazi ndogo sana kwa cheo cha rais. Makamu wake, Waziri Mkuu na Mawaziri wanaweza kufanya kazi hizo.
Rais anapaswa afanye kazi kubwakubwa kama kutoa vision kwa Taifa kama anavyofanya kwa sasa
 
Aliyekuwa DPP Biswalo Mganga ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Kilichomtokea Hakina tofauti Sana na Kilichomtokea Bashiru na Polepole. Hii style ya mama ni kama anatumia Ganzi maumivu utayasikia baadaye.

Bila DPP kuleta Mashtaka Jaji Hana Kazi, na Mganga anabakia kuwa na Mganga alikuwa zaidi ya DPP alipewa Uwezo wa kufanya Negotiation na mtuhumiwa na Kesi ikaisha.

Nafasi ya DPP ipo wazi

Ole Mushi
0712702602
 
Naona asilimia kubwa ni wakristo, hapo hutowasikia waislamu wakilalama,
Sasa ngojea mama aje afanye uteuzi wenye majina mengi waislamu uone hawa wa upande wa pili watakavyo tanua midomo Kama chai jaba,,
Rais wasasa haangalii dini ,au kabila Kama alivyokuwa anafanya yule aliyekata roho, bali ni namna gani uyo anaemteua ataenda na kasi yake
... umejuaje "wengi ni wa upande mmoja" Mkuu?
 
Aliyekuwa DPP Biswalo Mganga ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Kilichomtokea Hakina tofauti Sana na Kilichomtokea Bashiru na Polepole. Hii style ya mama ni kama anatumia Ganzi maumivu utayasikia baadaye.

Bila DPP kuleta Mashtaka Jaji Hana Kazi, na Mganga anabakia kuwa na Mganga alikuwa zaidi ya DPP alipewa Uwezo wa kufanya Negotiation na mtuhumiwa na Kesi ikaisha.

Nafasi ya DPP ipo wazi

Ole Mushi
0712702602

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Jaji wa Mahakama Kuu ana entitlement nyingi na Serikali inawajibika kumhudumia

Although, hadi uwe DPP lazima uwe ni mvaa suti nyeusi
Sawa lakini kule kuna majukumu mengi sana, na pesa unazopewa ziko kwenye utaratibu ila jamaa anaona kabisa kwake ni demotion kubwa sana!!jamaani msicheze na u DPP, tena wa awamu ya tano??alikuwa Mungu mtu!!mi pesa inakusanywa tu tena unaambiwa usiziweke kwenye account zilete hapa ofisini!!mtu akisema nimekufutia mashitaka hakuna mtu wa kuhoji!!
 
Sawa lakini kule kuna majukumu mengi sana, na pesa unazopewa ziko kwenye utaratibu ila jamaa anaona kabisa kwake ni demotion kubwa sana!!jamaani msicheze na u DPP, tena wa awamu ya tano??alikuwa Mungu mtu!!mi pesa inakusanywa tu tena unaambiwa usiziweke kwenye account zilete hapa ofisini!!mtu akisema nimekufutia mashitaka hakuna mtu wa kuhoji!!
Na wala huwezi katia rufaa maamuzi yake asee
 
Una maana ileee safari ya kwa M7 na kwa Mr Freedom juzi, nyumba ya Jamaa wa Msoga na Benzi ya Mzee Ruksa vimekomba ^killer-key-2^ pale hazinani. Kumbe ndiyo maana waliharakisha sanaaa kumpandisha cheo Dkt Mpango ili atoke kule wafanye yao!??? Hii ni hatari na robo ^tar-two^¡¡¡ Nahisi kufikia mwisho wa mwaka Bi Mkubwa lazima atatembeza bakuli la michango huku mtaani, kama ndio mwendo huu.
Magufuli alikomba hazina yote
 
Na wala huwezi katia rufaa maamuzi yake asee
Siku moja walionyesha mijinoti imekaribia kujaa chumba , eti wale waliokubali makosa na kuingia makubaliano ya kulipa!!pale kuna nini?waezipiga sana!!lakini kwenye ujaji , hakuna ubabe, ukimuonea mtu anakata rufaa, au ana kukataa!!!jamaa ni pigo sana kwake, ila kwa wapenda haki ni furaha!!
 
Back
Top Bottom