TEUZI: Rais Samia Suluhu ateua Majaji wa Mahakama ya Rufani, Majaji wa Mahakama Kuu. DPP Mganga ateuliwa kuwa Jaji

Mzee Mgaya anasema ili uwe Mkurugenzi wa Mashtaka ni lazima uwe na sifa za kuweza kuwa Jaji wa mahakama kuu. Kwa maneno mengine DPP ni sawa na Jaji na ndio maana amepewa uwezo wa kuamua kesi ipi iende mahakamani na ipi isiende.

Kimsingi hayati Magufuli ndio alimpa ujaji Biswalo kwa kumteua kuwa DPP na hatukusikia mtu yoyote akilalamika na alichofanya Rais Samia ni kumbadilishia nafasi tu, anasema Mgaya

Chadema wajaribu kutenganisha mambo ya taaluma na siasa kwa sababu mambo mengine yako juu yao, amemalizia.

Kazi Iendelee!
Mkuu Yohane, hebu tupe wasifu wa huyu Mzee Mgaya anayeikonga roho yako ili tupate kujua zaidi kuhusu elimu, uzoefu, weledi, mafunzo ya kazi, ujuzi na stadi zake mbalimbali ili tupate kumtambua vyema kwa kina.
 
11 May 2021

Wakili aliyefungwa kwa uhujumu uchumi afunguka mengi,; asema watuhumiwa wana imani na Rais Samia Suluhu Hassan



Wakili wa kujitegemea wa Mahakama Kuu nchini Peter Madeleka, amesema Sheria ya makosa ya uhujumu uchumi,utakatishaji fedha,na mwenendo wa makosa ya jinai inamapungufu makubwa na imekuwa ikitekelezwa kunyume na Bunge lilivyokusudia wakati wa kuzitunga.

Source : Mwananchi digital


Soma zaidi kuhusu DPP Historia ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka |Ofisi ya Taifa ya Mashtaka

Mkurugenzi wa Mashtaka ambaye anatoa mchango mkubwa katika kusimamia haki jinai.Kwa mujibu wa Ibara ya 59B ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Mkurugenzi wa Mashtaka amepewa uwezo na mamlaka ya kusimamia uendeshaji wa mashtaka yote ya jinai katika Mahakama zote isipokuwa mahakama za kijeshi.Kwa msingi huo, Mkurugenzi wa Mashtaka ana uwezo wa kufungua, kuendesha na kusimamia mashtaka yote ya jinai nchini.Kutokana na Ibara hiyo ya Katiba, Mamlaka aliyopewa Mkurugenzi wa Mashtaka hayamhusu mtu mwingine yoyote au mamlaka nyingine na hawajibiki kusimamiwa na mtu mwingine yoyote au mamlaka nyingine.Katika kutekeleza majukumu yake, Mkurugenzi wa Mashtaka anatakiwa kufuata kanuni zifuatazo:Kutenda haki; Kuzuia ukiukaji wa taratibu za kisheria; na maslahi ya umma.Nafasi hii imewekwa chini ya kifungu cha 8 cha Sheria ya Taifa ya Mashtaka, Sura ya 430
 
Kitu hujui uliza. Ni kwa vile alimoalia kooni sethi ambaye alitolewa kafara na JK! Subiri uone movie nzima sasa

Watu Wengi hawajui kuwa Mzee Rugemalila na wakina Kitilya wako gerezani wanaozea huko kama mbuzi wa kafara wa Kikwete; na bado watu wanamsifia kuwa alikuwa mtawala mzuri!! Kikwete aliitosa ile rasimu ya Katiba ya Warioba kwa kuogota kuwa kama ingepita yangempata yanayompata rafiki yake Zuma kule bondeni!! Angeshtakiwa kwa STATE CAPTURE ya jinsi alivyowawezesha wakina HOME SHOPPING CENTRE kuhujumu uchumi wa nchi kwa muda wote wa utawala wake!!
 
Watu Wengi hawajui kuwa Mzee Rugemalila na wakina Kitilya wako gerezani wanaozea huko kama mbuzi wa kafara wa Kikwete; na bado watu wanamsifia kuwa alikuwa mtawala mzuri!! Kikwete aliitosa ile rasimu ya Katiba ya Warioba kwa kuogota kuwa kama ingepita yangempata yanayompata rafiki yake Zuma kule bondeni!! Angeshtakiwa kwa STATE CAPTURE ya jinsi alivyowawezesha wakina HOME SHOPPING CENTRE kuhujumu uchumi wa nchi kwa muda wote wa utawala wake!!
Kwa mara ya kwanza naona mtu anayeifahamu nchi hii. Bravo, usisahau ufisadi katika madini ulianzishwa na JK akiwa waziri wa madini. Kuna mwingine anayeijua hii nchi ambaye ni Mchambuzi . Hata mzee Ruksa hawezi kukwepa IPTL hilo ni lake. Tuishie hapo ila Samia asipokuwa mwangalifu na JK mwisho wake ataujutia.
 
Mama safisha uc hafu wote wananchi wanyonge wapate haki zao ....safisha wote waimba mapambio ya jiwe
 
Una maana ileee safari ya kwa M7 na kwa Mr Freedom juzi, nyumba ya Jamaa wa Msoga na Benzi ya Mzee Ruksa vimekomba ^killer-key-2^ pale hazinani. Kumbe ndiyo maana waliharakisha sanaaa kumpandisha cheo Dkt Mpango ili atoke kule wafanye yao!??? Hii ni hatari na robo ^tar-two^¡¡¡ Nahisi kufikia mwisho wa mwaka Bi Mkubwa lazima atatembeza bakuli la michango huku mtaani, kama ndio mwendo huu.

Kwisha habari yake. Mdini sana huyu
 
..wanachodai Cdm ni kuwa DPP Mganga alifanya madudu ktk nafasi hiyo, kwa kubambika watu kesi kihuni-huni hivyo mtendaji wa aina hiyo hafai kuteuliwa kuwa Jaji.

..wanadai DPP Mganga alipaswa kutumbuliwa, au kufukuzwa kazi, na sio kupewa uhamisho kwenda kuwa Jaji wa mahakama kuu.
Mbona hawataji hayo madudu ili yapimwe kwa mujibu wa kanuni na sheria!!
 
Bi Mkubwa ndiyo kazi pekee anaweza labda na kusafirisafiri -- ila kwenda kukagua miradi ya maendeleo anaona karaha. ^Ilikuwa Dkt Mwinyi ndiye awe Makamo wangu^ JPM
Mlizoeshwa vibaya na yule mungu wenu alikuwa anataka kila kitu afungue yeye hadi choo cha shimo moja ili sifa na utukufu ziende kwake ,

uongozi haupo hivyo we msukuma mshamba ndio maana kuna mawaziri watafanya kazi hiyo .
 
Jana Rais Samia Suluhu Hassan kateua Majaji 7 wa Mahakama ya Rufani na 21 wa Mahakama Kuu. Jumla ni 28.

Jana nimesoma mitandao ya jamii yote maarufu katika mambo ya kitaifa na kisiasa. Ni Jaji mmoja tu Biswalo Mganga aliyelalamikiwa kuwa siyo uteuzi "safi" na wanasema Mama kakosea.

Hiyo basi kama kapata 27 kati ya 28, hiyo ni sawa na na kupata 96.42% au A+ kwa grading au distinction.

Tumpongeze Rais Samia Suluhu Hassan kwa hili hata kama hajakidhi kwa Biswalo Mganga aliyekuwa DPP kwa matarajio ya wengi. Najua hata Biswalo Mganga mwenyewe anajishangaa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
 
Una maana ileee safari ya kwa M7 na kwa Mr Freedom juzi, nyumba ya Jamaa wa Msoga na Benzi ya Mzee Ruksa vimekomba ^killer-key-2^ pale hazinani. Kumbe ndiyo maana waliharakisha sanaaa kumpandisha cheo Dkt Mpango ili atoke kule wafanye yao!??? Hii ni hatari na robo ^tar-two^¡¡¡ Nahisi kufikia mwisho wa mwaka Bi Mkubwa lazima atatembeza bakuli la michango huku mtaani, kama ndio mwendo huu.
Wafuasi wa kibwetere
 
Mheshimiwa Rais katenda haki sana, uaniona Diversity ya Tanzania katika teuzi za majaji . Kwa Bwana yule ungeona jinsia moja zaidi, kabila moja na dini moja. Heko ma SSH.
 
Kabla ya kusifia tupate majibu ya haya yote.

Vigezo gani muhimu hutumika kuteua majaji?

Hao walioteuliwa wana historia gani muhimu katika kutoa haki kwenye mhimili wa mahakama?

Idadi ya majaji wa mahakama kuu na ya rufaa inaamuliwa na nani?
 
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
Una maanisha nini sasa? Mganga ni mtu mzuri wa kupewa utumishi wa umma ameonea na kuweka watu magerezani leo aje kuwa Jaji? shame on you
 
CHADE
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.


CHADEMA inaingiaje hapa?

Watu wanaongelea issue ya Biswalo Maganga kuwa judge wa mahakama kuu we we unahamisha mada.!!

Anzisha thread ya kuilalamikia CHADEMA tukuelewe mkuu.
 
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
Hebu rudi kwenye akili yako kwaza achana na mengine,Kwa akili yako ya kawaida Sabaya na makandokando yake anafaa kuwa kiongozi wa umma? kumbuka watanzania sio wajinga na kama kuna jambo lililomshushia umaarufu mwendazake ni uteuzi wake wa watu kama, MAKONDA,SABAYA,MURO na wengineo wa sampuri hiyo,kama kuna jambo amewaachia basi ni jina baya lenye mkosi wa mbwa mweusi,litawatesa milele zote, Watu huwa hamjifunzi? tizama kinachoendelea kwa BISWALO baada ya kuteuliwa kuwa jaji nchi nzima inaunguruma,inaguna na ujue nchi ikiguna na mbingu zinaguna. Sijui kama mama atastahimili kuwabeba hawa watu ila achani liwe fundisho kwa watu wanaopenda kutumika vibaya.
 
Back
Top Bottom