MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Biswalo alishika nafasi nyeti sana, hata kama Mama hamkubali, isingiwezekana kumwondoa na kumutupa mtaani, kama watu hawakumpenda, washukuru kwamba katolewa kwenye DPP office, alikopelekwa wasijali sana.