Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,742
- 1,776
Dr Isaka amerudi baada ya zimwi la fao la kujitoa kuondoka naye SSRA kama sijakosea wakati wa marehemu.
Nilikuwa nachukulia wepesi suala hili lakini sasa naona km kuna wajinga wananilazimisha kuaminiHawa watu Wana chuki Sana aisee
Hahahahhah umenichekesha brotherAkina Flourence Turuka walewale tu? Mtu kashachoka bado anateuliwa tu
Huyu Katunzi ni mtoto wa Dk. Naomi Katunzi ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu. Ukiangalia teuzi hizi zinazunguka miongoni mwa watu walewale na vizazi vyao.Angalau kawakumbuka wakristo na makabila ya bara....maana teuzi zake ilikuwa ni watu kutoka kanda ya pwani, visiwani & waislamu.
Turuka & Katunzi - Kagera/Haya
Shayo - Kilimanjaro/Chaga
UsilolijuaKwanza Nani kakudanganya Kuwa nina Kazi Ndogo,Kazi Yangu Haiitani Mshahara Dogo,Wewe Unaogopa Kutolewa hapo ulipo pia Unaogopa Wanaokulinda umewazoea wanakupa fair,Hivyo unaogopa Watu wapya....
Utakoma kama Uliingia kazini kwa Upendeleo
Uzi Ukioshikia Muda si Mrefu utakatwa kataaa...Ujiunge kwtu ujasiriamali.
Kumbe!!!hongeren wala ngub