Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
- Thread starter
- #21
None senseHata hii imepita mzee wa Karma Pascal Mayalla?
None senseHata hii imepita mzee wa Karma Pascal Mayalla?
Wagalatia tumekumbukwa
Wewe Mtu kila teuzi inampita.
Bi Irine kakumbukwa sasa
Roho mbaya zitawaua.Wagalatia tumekumbukwa
Cycle ya Mzee wa Msoga inarudii taratibu...Bi Irine kakumbukwa sasa
Turuka n ngoni/matengo...RuvumaAngalau kawakumbuka wakristo na makabila ya bara....maana teuzi zake ilikuwa ni watu kutoka kanda ya pwani, visiwani & waislamu.
Turuka & Katunzi - Kagera/Haya
Shayo - Kilimanjaro/Chaga
Wakristo ingekuwa amri yenu viongozi wote mlitaka wawe wa dini yenu tu,,Angalau kawakumbuka wakristo na makabila ya bara....maana teuzi zake ilikuwa ni watu kutoka kanda ya pwani, visiwani & waislamu.
Turuka & Katunzi - Kagera/Haya
Shayo - Kilimanjaro/Chaga
Mmefurahi hapo!!, next Time wakiteuliwa Waislamu mtalaumuWagalatia tumekumbukwa
Aiseee!Angalau kawakumbuka wakristo na makabila ya bara....maana teuzi zake ilikuwa ni watu kutoka kanda ya pwani, visiwani & waislamu.
Turuka & Katunzi - Kagera/Haya
Shayo - Kilimanjaro/Chaga
Mungu ashasema kuwa hawa msiwafanye kuwa wasiri wenu kwani hawawapendi na wanawachukia.Nadhani unaona mwenyewe kuwa wanavyomchukia mama Samia lakini yote ni kwa sababu dini yao ni ya mashaka.Kama mtu anaweza kwenda mbele ya sanamu akaomba maombi yake unaweza jiuliza maswali mengi kuhusu hiyo dini.Wakristo ingekuwa amri yenu viongozi wote mlitaka wawe wa dini yenu tu,,
Aisee mna chuki ,huo udini una faida gani,mbona Waislamu hawana chuki nanyinyi pamoja na kuwa mmejaa kwenye nafasi nyingi serikalini,
Teuzi ijayo Waislamu wakiwa wengi mtaanza kumtukana Rais
We subiria kufukuzwa hata kwa hiyo kazi ndogo uliyonayoAcha wivu wewe....
Mama Endelea Kuteu...Huenda Siku moja nami Ukanikumbu
Mmatengo wa liuli mbinga.Turuka n ngoni/matengo...Ruvuma
Dah, inasikitisha Sana, Wana chuki kubwaMungu ashasema kuwa hawa msiwafanye kuwa wasiri wenu kwani hawawapendi na wanawachukia.Nadhani unaona mwenyewe kuwa wanavyomchukia mama Samia lakini yote ni kwa sababu dini yao ni ya mashaka.Kama mtu anaweza kwenda mbele ya sanamu akaomba maombi yake unaweza jiuliza maswali mengi kuhusu hiyo dini.
Hawa watu Wana chuki Sana aiseeAiseee!
Baada ya kauli hii unajisikia burdaaani kabisa, au sio?
We subiria kufukuzwa hata kwa hiyo kazi ndogo uliyonayo
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app