Rungwe ina Rungwe na Busokelo, momba ina momba na Tunduma mji, nkZiko wilaya zina halmashauri mbili mbili mfano
Bagamoyo Ina bagamoyo na chalinze
Lushoto Ina lushoto na bumbuli
Na zingine nyingi tu
Rungwe ina Rungwe na Busokelo, momba ina momba na Tunduma mji, nkZiko wilaya zina halmashauri mbili mbili mfano
Bagamoyo Ina bagamoyo na chalinze
Lushoto Ina lushoto na bumbuli
Na zingine nyingi tu
Ana ujeuri huyo......Wananchi wa Tabora wanafanya sherehe. Komanya alikuwa gaidi sana.
Alikuwa na dharau kwa kila mtu. Alikuwa anadharau hata mabosi wake mkuu wa mkoa na ras.
Kwa ujumla,jamaa alikuwa hana sifa yoyote ya uongozi.
Hii ni logo yao, wametaja Halmashauri ya Wilaya, kwenye jengo la utawala(picha hapo juu mwanzoni) napo wametaja Wilaya.Hapo ni ofisi halmashauli. Kama huamini ebu leta picha za ofisi ya DC wa chalinze?
Mfano tanga Kuna korogwe TC na korogwe dc zote ziko wilaya mojaOfisi ya Mkuu wa Wilaya ni Serikali Kuu na kuna Mamlaka za Serikali za Mitaa katika Wilaya husika. Mamlaka za Serikali za Mitaa ni Halmashauri za Wilaya pamoja na Miji Midogo, Miji, Manispaa na Majiji. Ukiondoa Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam, Wilaya ya Tanga na Wilaya ya Dodoma Mjini ambazo zina zina Halmashauri moja. Wilaya nyingine nyingi zina Halmashauri zaidi ya moja.
AusindileHii ni sehemu ya mkeka, kwa mkoa wa Pwani sijaona wilaya ya Chalinze, je imesahaulika?
Chonde chonde Mh Rais nipo hapa nina sifa katika nafasi hiyoView attachment 1824910View attachment 1824913View attachment 1824914
Neno wilaya lisikuchanganye. Hiyo inaitwa halmashauli ya wilaya ya Chalinze. Hapo ina maana ni ofisi za mkurugenzi wa hiyo halmashauli ya wilaya ila DC ni mmoja ambapo wilaya ni Bagamoyo District.Hii ni logo yao, wametaja Halmashauri ya Wilaya, kwenye jengo la utawala(picha hapo juu mwanzoni) napo wametaja Wilaya.
Kama sio Wilaya kwanini watumie neno WILAYA?
Hilo neno Wilaya(District) halipaswi kuonekana hapo, linatakiwa kuonekana popote itakapotajwa Wilaya ya Bagamoyo na wala si Wilaya ya Chalinze(kama linavyoonekana kwa sasa)View attachment 1824929
Hizo ni shida za 90% ya vijana nchini na wewe mmojawapo
Lakini siasa za kipuuzi za kibongo zimekuzoesha umasikini ili uone ni sehemu ya maisha yako
Na sasa hivi viteuzi vya wanaojikombakomba kwenye hizo siasa uchwara ndio zimekuwa kama bahati nasibu ya maisha.
Hawa makende walioteuliwa watafanya nini kubadilisha maisha ya watu kwenye maeneo ya uteuzi zaidi kwenda kuiba, kunyanyasa na kuua (Sabaya, Makonda) ? ....
Chalinze siyo Wilaya bali ni Halmashauri. Nahisi Maana ya Wilaya na Halmadhauri ndiyo vinakuchanganya.
Chalinze siyo wilaya.
Mm pia nina sifa kibao za kuwa mkuu wa wilaya, napatikana hapa Nakapanya.
Chalinze ipo ndani ya wilaya ya Bagamoyo.Chalinze ni halmashauri ,wilaya ya Bagamoyo ina halmashauri mbili ya Bagamoyo na ya Chalinze.
Wilaya ni Bagamoyo Ila halmashauri zipo mbili chalinze na Bagamoyo
Chalinze sio wilaya kaka!
Chalinze ni wilaya acheni porojoNeno wilaya lisikuchanganye. Hiyo inaitwa halmashauli ya wilaya ya Chalinze. Hapo ina maana ni ofisi za mkurugenzi wa hiyo halmashauli ya wilaya ila DC ni mmoja ambapo wilaya ni Bagamoyo District. Bagamoyo district has two councils i.e. chalinze district council and bagamoyo district council but the DC is situated at bagamoyo town. Nimejaribu kutumia kimombo ili tuelewane. Kumbuka DC haongozi halmashauli ya wilaya bali anaongoza wilaya na wilaya moja inaweza Kuwa na halmashauli zaidi ya moja mfano Lushoto, Rungwe, Mbeya nk.
Wikipedia ni sosi hafifu sana kuifuatiliaChalinze ni wilaya acheni porojoView attachment 1824991View attachment 1824992
Hii ni sehemu ya mkeka, kwa mkoa wa Pwani sijaona wilaya ya Chalinze, je imesahaulika?
Chonde chonde Mh Rais nipo hapa nina sifa katika nafasi hiyoView attachment 1824910View attachment 1824913View attachment 1824914
Huyu jamaa naona ni mzito sana kuelewa.Wikipedia ni sosi hafifu sana kuifuatilia
CHALINZE SIO WILAYA...Full stop
Wilaya ni Bagamoyo
Iko BagamoyoHii ni sehemu ya mkeka, kwa mkoa wa Pwani sijaona wilaya ya Chalinze, je imesahaulika?
Chonde chonde Mh Rais nipo hapa nina sifa katika nafasi hiyoView attachment 1824910View attachment 1824913View attachment 1824914
Yametumika yote naona Chalinze district councilPoint ya mtoa mada ni kw nini kwenye bango lao watumie neno chalinze district badala ya chalinze council
Mkuu leta chanzo kingine, siyo hilo li Wikipedia.Chalinze ni wilaya acheni porojoView attachment 1824991View attachment 1824992
Kazi kwelikweli naona mleta Mada anataka aone mtawala wa eneo (Area Commissioner) DC kabisaYametumika yote naona Chalinze district council
Pamoja na kueleweshwa kote huko bado unaleta ubishi.Hii ni logo yao, wametaja Halmashauri ya Wilaya, kwenye jengo la utawala(picha hapo juu mwanzoni) napo wametaja Wilaya.
Kama sio Wilaya kwanini watumie neno WILAYA?
Hilo neno Wilaya(District) halipaswi kuonekana hapo, linatakiwa kuonekana popote itakapotajwa Wilaya ya Bagamoyo na wala si Wilaya ya Chalinze(kama linavyoonekana kwa sasa)View attachment 1824929