CJ ni Muislam
JK ni Muislam
Msajili Wa Mahakama Tz ni Muislam
Mkuu acha kuendekeza udini, usiangalie nafasi za hao wateule 3 au 4 tu halafu ukahitimisha.
Mimi ni mkiristu lkn naweza kukwambia kuwa ukiangalia kiuhalisia ktk mhimili wa Mahakama wakristu ndio wengi zaidi, angalia idadi ya Majaji, Wasajili, Watendaji, Mahakimu n.k, viongozi na ambao sio viongozi.
Mimi napenda sana uwiano ktk nafasi ZA uongozi wa nchi yetu kama anavyo fanya Rais Samia maana Uwiano huimarisha umoja Na mshikamano wa Taifa letu.
Taifa letu haliwezi kujengwa Na watu wa aina moja tu bali watanzania wote.
Kazi iendelee.
Mungu azidi kumbariki Rais wetu mpendwa Samia.
Anatuongoza vyema sana