Jimmywatanzania
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 501
- 269
Kikao cha Nec kimehairishwa mpaka kesho na hivyo mkutano mkuu ni jumapili.ratiba imebadilika tena
Mnaosubiri majina matano kutangazwa leo mnapoteza muda.
Wanachofanya kwa sasa ni delaying technics, majina hayo yatatangazwa kesho wakati wa mkutano mkuu na mwenyekiti mwenyewe.
Wanafanya hivyo ili kuwafanya wale waliongulia wasipate muda wa kujipanga na mashambulizi au kuamishia hasira zao kwa wagombea wasiotakiwa na vigogo wa chama.
Khaa!! Mlivyokula vyake na vya marafiki leo hamtaki hata kukumbuka. Nyie watu wabaya sana. Ngoja aende na wale wengine wakamleEbu toka huko nyie ndo mnaoturudisha nyuma habari za lowasa kwa sasa za nini?hamumuon mwenyewe kakaa kimya na nyie wapenzi wake wenye mahaba nae mkomae tu maana hakuna namna
Ebu toka huko nyie ndo mnaoturudisha nyuma habari za lowasa kwa sasa za nini?hamumuon mwenyewe kakaa kimya na nyie wapenzi wake wenye mahaba nae mkomae tu maana hakuna namna