Tetesi za Watu Maarufu

Hans Miki

Member
May 30, 2017
12
28
Kuna vitu kuhusu watu maarufu kama viongozi, wasanii nk. tuliwahi kuambiwa tukiwa wadogo na hata ukubwani ambavyo kwa kweli vilisisimua. Tatizo kuhusu nyepesi hizo ilikuwa ni vigumu kuziona au kusikia katika vyombo vya habari. Hivyo ukweli wake umekuwa ni jambo la kujiongeza mwenyewe. Hizi zifuatazo zilinisisimua sana - kama kuna nyingine tushirikishane tuzijue na kwa mwenye kujua ukweli wake pia ni vizuri akatusaidia.

1. Mwl. Nyerere alimpa Malkia wa Uingereza kifimbo badala ya mkono eti kisa Malkia alikuwa amevaa gloves

2. Dr. Hastings Kamuzu Banda alihasiwa kwa kuwa alikuwa daktari wa Malkia

3. Marvin Gaye aliuawa na baba yake eti kwa kuwa Marvin alikuwa shoga
4. Rais Jomo Kenyatta aliwahi kumtakia Mwl. Nyerere kuwa kuongoza Tanzania ni kama kuongoza maiti

5. Michael Jackson aliwahi kusema kuwa Dar es Salaam inanuka
 
The late Mwl JK alikataa kupeana mkono na Bob Marley kweny kongamano la jamani ndio Marley akapiga AU(Africa unit)
 
"Michael Jackson aliwahi kusema kuwa Dar es Salaam inanuka" uliwahi kusikia Michael mwenyewe ameyatamka ayo maneno
 
Ni kweli alishika pua. Ilikuwa ni moja ya vijitabia vyake vya ajabu. Jamaa alikuwa na a lot of strange habits! But hakuna aliye na ushahidi wa kumsikia akisema maneno hayo ya kunuka
ajabu yake yule shoga aliona dsm inanuka kuliko maviii zake yeye mwenyewe, kwani pindi wazungu wanamshikisha ukuta huko marekani alikuwa atoi mavii? ni mojawapo wa wanadamu waliokuwa wananikera kuangalia kuliko wengine wote duniani hasa anavyojifanya mwanamke.
 
Mohamed Ally alipigana na bondia Kelly Norton,huyu jamaa alikuwa na nguvu sana,ikabidi mkono mmoja ufungwe nyororo..alivyozidiwa na Ally ikabidi atumie ule mkono mwingine,alilusha konde Ally alilikwepa na kwenda kukonga nguzo za ulingo na kupinda vibaya sana...ikabidi nitafute huo mkondo nikakuta fiksi tupu...zamani bana..
 
John F Kenerdy alikuja bongo miaka hiyoo,kukawa na hafla ikulu, mwenyeji Nyerere akawa anamtembeza mgeni wake maeneo ya ikulu,kwa mbali kulikuwa na jamaa anakojoa, Kenerdy alishangaa sana,akamuuliza Nyerere kwanini watu wanachafua mazingira ya Ikulu.mwenyeji akatuma maofisa usalama na kumkamata yule mtu,baada miezi kadhaa Nyerere nae akaenda USA..Kenerdy nae akawa anamtembeza mgeni wake....kwa mbali akaoneka kuna jamaa anakojoa.Nyerere akamuuliza vipi na kwako pia ni wachafu hivi?,Kenerdy akastaajabu sana,kwani ni tukio la ajabu kwa mtu kukojoa maeneo ya white house...watatumwa walinzi akamatwe...alipoletwa khaaa alikuwa waziri aliyeongazana na Nyerere huko USA...story za zamani bhana fiksi tupu..
 
Hahaaaaa kina ile ya kawawa funika kikombe. Kwakua alikua akikiacha kinaangalia juu wanamuwekea tu chai mzee wa watu. JK ikabidi amsaidie halafu akamwambia kiswahili ili wasielewe
 
ajabu yake yule shoga aliona dsm inanuka kuliko maviii zake yeye mwenyewe, kwani pindi wazungu wanamshikisha ukuta huko marekani alikuwa atoi mavii? ni mojawapo wa wanadamu waliokuwa wananikera kuangalia kuliko wengine wote duniani hasa anavyojifanya mwanamke.
Kweli dar inanuka bwana
 
Back
Top Bottom