YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,888
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi Magufuli shikamoo.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi Magufuli shikamoo.