Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
...WHO na US wanaelezea jinsi serikali ya Tanzania inavyowanyima taarifa kuhusu ugonjwa wa Ebola. Ni jambo moja kutangaza "mafanikio ya serikali" kwa Watanzania na kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani; LAKINI ni jambo tofauti KABISA kuleta mzaha na kitu ambacho athari zake haziishii hapa nchini pekee.
Sekta ya utalii itakufa muda si mrefu mkiendelea hivi.
Jisomee hapa:
https://www.bbc.com/news/world-africa-49786823
Sekta ya utalii itakufa muda si mrefu mkiendelea hivi.
Jisomee hapa:
https://www.bbc.com/news/world-africa-49786823