Malema Jr
Member
- Aug 16, 2019
- 7
- 14
Duru za Habari zinazoenea chini kwa chini ndani ya serikali ya Wanafunzi Chuo kikuu cha Dar es Salaam-DARUSO zinasema ya kwamba mmoja ya mawaziri maarufu wa serikali hiyo mpya 2019/2020 amepata G.P.A ya 1.5 ambayo ni chini ya G.P.A ya 1.8 inayotakiwa.
Kwa mujibu wa vyanzo vinasema kikao cha kupitisha matokeo ngazi ya department yao kilikaa jumanne ya wiki hii ambapo watu waliohudhuria walikuta jamaa huyo ana G.P.A ndogo.
Kwa mujibu wa uchunguzi, hivi sasa jamaa huyo anahangaika kupiga simu hovyo kuomba walimu wamsaidie kumbeba, lakini hali bado inaonekana ngumu. Na hivi tunavyozungumza kikao cha kupitisha matokeo ngazi ya college ndo kinaendelea.
Kijana huyu anajulikana sana na amejizolea umaarufu kwa kasi yake ya ajabu ndani ya DARUSO.
Ni mmoja kati ya vijana waandamizi sana walioiweka madarakani serikali hii
Ungana nami kwa taarifa zaidi.
Kwa mujibu wa vyanzo vinasema kikao cha kupitisha matokeo ngazi ya department yao kilikaa jumanne ya wiki hii ambapo watu waliohudhuria walikuta jamaa huyo ana G.P.A ndogo.
Kwa mujibu wa uchunguzi, hivi sasa jamaa huyo anahangaika kupiga simu hovyo kuomba walimu wamsaidie kumbeba, lakini hali bado inaonekana ngumu. Na hivi tunavyozungumza kikao cha kupitisha matokeo ngazi ya college ndo kinaendelea.
Kijana huyu anajulikana sana na amejizolea umaarufu kwa kasi yake ya ajabu ndani ya DARUSO.
Ni mmoja kati ya vijana waandamizi sana walioiweka madarakani serikali hii
Ungana nami kwa taarifa zaidi.