Kuna taarifa nimezipata muda mfupi uliopita kwamba kuna kabila fulani wanagombania maiti pale Muhimbili kuhusu aidha azikwe hapa Dar au asafirishwe kwenda Mkoani.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari, ni kwamba makundi hayo mawili yamefikia hatua ya kuchapana makonde hapo hapo Muhimbili wakati wakisubiri kuaga mwili wa merehemu na hadi sasa imeamuliwa mwili wa marehemu upelekwe mahakamani ili haki ipatikane.
Nimeelezwa kwamba vyombo vya habari kama ITV na TBC wapo pale pamoja na kundi la Ze Komedi.
Mwenye habari kamili tafadhali atujuze.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari, ni kwamba makundi hayo mawili yamefikia hatua ya kuchapana makonde hapo hapo Muhimbili wakati wakisubiri kuaga mwili wa merehemu na hadi sasa imeamuliwa mwili wa marehemu upelekwe mahakamani ili haki ipatikane.
Nimeelezwa kwamba vyombo vya habari kama ITV na TBC wapo pale pamoja na kundi la Ze Komedi.
Mwenye habari kamili tafadhali atujuze.