Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika toka loans board,ni kwamba,kutokana na malalamiko meng juu jins mikopo ilvotolewa,zoezi la kuwachambua wale wote wenye dv 1 nd 2 afu wamekosa mkopo litarudiwa na watapewa mikopo kabla ya vyuo kufunguliwa.
Daaa! Kama loans wameamua kurudia tena kutoa mkopo kwa wenye 1&2 itakuwa fresh maana watu wamekata tamaa yakuendelea vyuo kutokana hali za kimaisha za watu,ka vp wafanye kweli tena haraka mno.
kwa kwel naomba kwa sir God iwe ivo manake juhud zangu za kusoma xana znaonekana ni bure nmekonda kwa wiki 1,Hayo mamilioni ntayawezea wap ukitegemea ni yatima(single family-mama) afu nimefaulu na kunyimwa mkopo"NO LOAN" inauma xana,kama kwel ni serikal ckivu wackie hich kilio...... cjivunii kuwa Mtanzania bali navumilia kuwa Mtanzania
Nashangaa sirikale iliyopo madarakani kupitia green colour identity ilivyogawa kadi zake kwa wapinzani zipatazo 14elfu na usheee namaanisha tuliokosa mkopo tayari tumeshagawiwa kadi za vyama pinzani.
na huu mtindo wa kukimbilia kadi za vyama kutokana na hali fulani,ndio mnaokuja kuwa km wale madiwani wa arusha
muwe na misimamo na msifate mikumbo vijana!!serikali yenu haioni umuhimu kuwekeza ktk elimu bali anasa zao tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.