Baba Ubaya
Senior Member
- Jun 24, 2008
- 127
- 19
Nimepitia gazeti la nipashe nimekutana na hii ishu.wana jamii ikiwa ni kweli tunakwena wapi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
YANATOKEA MBALI SANA HAYO, Tangu enzi zilee "UKIWA SI MWENZAO, BIASHARA IMEISHA hata ujumbe wa nyumba kumi hustahili kuupata:A S angry: Ni utamaduni na mila ndani ya CCM. Ukiwa katika kundi la mwenzetu basi hapo hata UWE NA MAKOSA KAMA KILIMANJARO utalindwa kwa namna zote.:smile-big:Navyosikia mie ni kuwa itawekwa na TAMISEMI na itamstahili sana John Pombe maghufuri/Samweli Sitta ingawa kwa fununu za karibu kuwa sitta ndio katemwa hivyooo kabisaa, tatizo kuwa viongozi wa juu ndani ya chama CCM wakikutenga bwana basi tena imekula kwako