Kuna tetesi kwamba Diwani wa CCM machachari wa Kata Sombetini - Jijini Arusha leo amejiunga na
CHADEMA!
Mlio huko uwanja wa NMC mtuhabarishe.
Mshenzi sana huyo, mimi simtaki hata kumsikia...Ni malaya wa kisiasa....fool he is!
ndio umejituma kuja kusema ati wewe ni machachari? kweli mchuuzi hana mtaaKuna tetesi kwamba Diwani wa CCM machachari wa Kata Sombetini - Jijini Arusha leo amejiunga na
CHADEMA!
Mlio huko uwanja wa NMC mtuhabarishe.
Mkuu hii si tetesi tena bali ni kweli nimeipata kwenye radio one breaking news ya saa kumi kasoro jioni hii.
Huo Muda mbona haujafika?
Mkuu umeposti saa 10 na dk 32 (yaani 4:32) na unasema saa 10 kasoro bado?
Hehehe ila najua Mchungaji una matani sana... au ulikuwa unacheki kama yuko makini na anachokiongea?
Mkuu umeposti saa 10 na dk 32 (yaani 4:32) na unasema saa 10 kasoro bado?
Hehehe ila najua Mchungaji una matani sana... au ulikuwa unacheki kama yuko makini na anachokiongea?
nasikia kuna mabomu yanaendelea arusha sasa (source: the gudian-breaking news.) hebu mlioko huko tujuzeni tafadhali!!!!