Mgombea udiwani wa kata ya kaloleni abas mkindi darwesh,kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea udiwani,habari zilizotufikia ktk chanzo chetu cha habari ndani ya cuf ni kwamba ameona kuwa anatwaga maji kwenye gunia,na kukubaliana na ccm kuwa dakika za mwisho hatajitoa na kuwaambia wanachama wa cuf waipigie ccm kura kuliko kuichagua chadema .
Chanzo cha habari intelejensia.
Chanzo cha habari intelejensia.