Diwani wa kata Kisesa ameuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya diwani huyo kumpiga risasi kwa kutumia bastora yake. Kisa mgogoro wa ardhi! Mliopo Kisesa tupeni taarifa. Diwani anaitwa Clement Mabina. Source nimetumiwa sms na mtu.
Diwani wa kata Kisesa ameuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya diwani huyo kumpiga risasi kwa kutumia bastora yake. Kisa mgogoro wa ardhi! Mliopo Kisesa tupeni taarifa. Diwani anaitwa Clement Mabina. Source nimetumiwa sms na mtu.
Diwani wa kata Kisesa ameuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya diwani huyo kumpiga risasi kwa kutumia bastora yake. Kisa mgogoro wa ardhi! Mliopo Kisesa tupeni taarifa. Diwani anaitwa Clement Mabina. Source nimetumiwa sms na mtu.
nikweli nipo mwanza habari hizi nizakweli kupitia itv breakingnews RPC kathibitisha namimi nasema wapigwe tu
CCM wamezidi dhulma wacha wapigwe tu.
Diwani wa kata Kisesa ameuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya diwani huyo kumpiga risasi kwa kutumia bastora yake. Kisa mgogoro wa ardhi! Mliopo Kisesa tupeni taarifa. Diwani anaitwa Clement Mabina. Source nimetumiwa sms na mtu.