Nimetokezwa kuwa wakati wananchi wakiwa na kiu ya matokea ya uchaguzi hasa jimbo la MBEYA MJINI, Mh. Lowasa na Makamba wako hapo mjini na polisi wanazidi kupiga mabomu kutawanya watu wenye KIU ya matokeo.
Walioko MBEYA please confirm this rumours!
Koma wamlongo!, malikisa kabisaaaaa,Ifwa munu wakichakachua. Mbeya msikubali kuondoka hapo dsa.