GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,790
Kumbe ile ajali ya basi lile la mashabiki wa Yanga SC wakati wakiwa safarini kwenda Mwanza kulitakiwa wengi wao watangulie mbele ya haki ili ushindi uweze kupatikana jana, ila Mwenyezi Mungu hakutaka kukubaliana na huo ''Upopoma'' na badala yake ''akawaadhibu'' sasa kwa kufungwa.
Kazi ipo hakyanani!
Kazi ipo hakyanani!