Tetesi: Tetesi: kufutwa kwa matokeo ya darasa la saba 2018

Mtumwa huru

Member
Aug 10, 2017
57
95
Wakuu habari zenu? Kuna tetesi zinaenea kuwa matokeo ya darasa la saba yanaweza kufutwa kutokana na hali ya uzembe ya usimamizi wa mitihani hizi habari zimekaaje wakuu ni kweli au porojo tu!
 
wazingatie pia gharama za kurudia huo mtihani na usumbufu watakao usababisha, hawa vijana kwanza bado ni wadogo sana, waachwe wakakue huko o-level. lakini kwani lasaba wanatakiwa wafaulu kiasi gani?
 
Zitolewe adhabu za Kama kwenye MV Nyerere,Maana naona imekuwa adhabu Kali sana kupita maelezo
 
Ilianza tengua tengua sasa inaanza futa futa rasmi.

Wamezowa kurudia rudia chaguzi sasa wanataka warudierudie na mitihani.
 
mambo mengine cjui ht vp, kama bado hawajatangaza matokeo c wayaweke sawa huko kimya kimya
 
Huu ni UONEVU! Kama ni kufuta wangefuta nchi nzima japo kiwango cha wizi kinatofautiana.

Kama una ndugu darasa la saba au la nne muulize kinachotendeka huko siku ya NECTA.

Wengine wachapwa MAKOFI kwa kutoweka MAJIBU waliyopewa.

Kama hamuamini, fanyeni utafiti kidogo tu mtabaini ukweli.
 
Huu ni UONEVU! Kama ni kufuta wangefuta nchi nzima japo kiwango cha wizi kinatofautiana.

Kama una ndugu darasa la saba au la nne muulize kinachotendeka huko siku ya NECTA.

Wengine wachapwa MAKOFI kwa kutoweka MAJIBU waliyopewa.

Kama hamuamini, fanyeni utafiti kidogo tu mtabaini ukweli.
Aliyekamatwa na ngozi ndiye aliyeiba ng'ombe
 
Back
Top Bottom