mwandende JR
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,090
- 1,331
Haya yashatimia sasa WALETENI akina JULIO na KIBADENI.....nyie viongozi ni MAMLUKI wa KANDAMBILI FC......mnatuharibia timu
Duu hiki kifaa kinaondoka! Ikumbukwe kuwa Kocha Mayanja ndiye aliyeibadili Simba kwenye uchezaji mpaka ikaachana na kutoa sare mfululizo zaidi ya michezo minne. Kama ni kweli hili ni pigo kwa Wanachama na Washabiki wa Simba. Bora angeondoka Joseph Omog kwa kweli.Kocha Jackson Mayanja ameamua kuachana na klabu ya Simba na kurejea kwao Uganda.
Mayanja ambaye bado yuko jijini Dar es Salaam, ameamua kuachana na Simba akidai ana matatizo yake binafsi.
“Ni matatizo ya kifamilia lakini suala hilo siwezi kulizungumzia kwa sasa,” alisema.
Lakini habari kutoka Simba zimeeleza kuwa sasa wako katika hatua za mwisho kuvunja mkataba wake baada ya kukubaliana naye kutokana na uamuzi wake huo.
Muungwana Blog
Hilo nalo neno Mkuu! Ila bora angeondoka Omog kuliko Mayanja!Atakuwa anaenda kagera sugar labda
Afadhali kama sio kweli!Ukweli kuhusu Mayanja kafukuzwa Simba
Wednesday , 18th Oct , 2017
Na Elbogast Myaluko
Kocha msaidizi wa Simba Mganda Jackson Mayanja amekanusha taarifa za kutimuliwa ambazo zinasambaa nchini na kudai kuwa si za kweli kwani hana taarifa yoyote rasmi kutoka kwa uongozi.
Mayanja amesema hajui taarifa hizo zinatoka wapi kwasababu sio za kweli na yeye anaendelea na kazi kama kawaida. “Sijafukuzwa naendelea na kazi yangu kama kawaida”, amesema Mayanja.
Aidha Mayanja amesema hakuwepo nchini kwa siku kadhaa zilizopita kwasababu alisafiri kwenda kwao Uganda ambako alikuwa na mambo ya kifamilia na tayari ameshayamaliza na amerejea kuendelea na kazi.
“Nilienda nyumbani Uganda mara moja kulikuwa na matatizo ya kifamilia sio kwamba nimefukuzwa, ndio mana nimerejea kuendelea na kazi yangu na uongozi wa klabu haujanipa taarifa yoyote, sasa sijui hizo taarifa zimetoka wapi”, ameongeza Mayanja.
Timu yake ya zamani ile. Yawezekana kabisa. Kama ndiyo, Mecky yupo mbioni kutimuliwa.Atakuwa anaenda kagera sugar labda
GENTAMYCINE hana hizi taarifa?
Nimecheka sana...Kuna jamaa humu siku ingine anajifanya mshabiki mkubwa wa Yanga siku ingine ni mshabiki wa mikia. Siku ingine akiamka ovyo anakuwa mnyarwanda siku ingine Mtz yaani km wimbo wa Jay Mo mvua na jua.
Halafu anaongoza kwa mitusi humu JF yeye akizidiwa hoja ni mitusi tu.Nimecheka sana...