hivi tatizo ni nini....
waislam hao wanashindwa kukaa meza moja na viongozi wa serikali na kuongelea kero zao kwaajiri ya utatuzi.
sasa wanaona ni bora wahamishie mgogoro huo kwa kugombana au kuharibu mali za wakristo
hii akili au matope...... mi naona hata hao wafuasi hawajui maana ya dini
hata kama ni jihad haikuwa kwa style hiyo.
hivi tatizo ni nini....
waislam hao wanashindwa kukaa meza moja na viongozi wa serikali na kuongelea kero zao kwaajiri ya utatuzi.
sasa wanaona ni bora wahamishie mgogoro huo kwa kugombana au kuharibu mali za wakristo
hii akili au matope...... mi naona hata hao wafuasi hawajui maana ya dini
hata kama ni jihad haikuwa kwa style hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.