salmar
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 799
- 362
jina. Salmar.
Din. ?
Ivi ni lazima utuambie na habari za magari yenu ?
Au na wewe umehitimu madrasa ?
Wacha uzuzu weweee kwani wanaoegesha magari yao kanisani wote wakrisro? Kaa utafakari
jina. Salmar.
Din. ?
Ivi ni lazima utuambie na habari za magari yenu ?
Au na wewe umehitimu madrasa ?
nimetumiwa ujumbe kwamba habari hii mtu kutoka ughaibuni kaniambia wameonyeshwa kwenye tv ya huko haya mambo so sad kwakweli
jaribuni kama mtakuwa salama.hebu wakristo tuchukue hatua
Hivi hao waliokwisha kufa wamewahi kurudi kuwaeleza faida wanayopata huko waendako? Maana naona waislamu wanazidi kushikilia misimamo yao ya ajabu ambayo naamini ni mafundisho ya kidunia zaidi. Hivi bado allah akiulizwa anaendelea kuwafundusha hivyohivyo waislamu?... Inawezekana waislamu wa sasa hawajazungumza na allah kwa muda mrefu na ndiyo maana naye amewaacha waendelee na uo u wao vinginevyo naamini wangemuuliza allah angewaambia waislamu waache kufikiria kwa kutumia ******, wasikilize na kusoma lakini wachanganye na za kwao.
Mkuu, umeisha wahi kusikia dini hii hua na hata maono ya Kimungu? Hapa ni full majini tu, hakuna cha roho mtakatifu wala nini, sasa hvi wanafundishana namna ya kudhibiti watoto wa Kikristo mashuleni, wamekubaliana kuwatupia majini watoto wote wa Kikristo wenye akili shuleni, subirini mtasikia vipindi vya mitihani huko mashuleni!
Wacha uzuzu weweee kwani wanaoegesha magari yao kanisani wote wakrisro? Kaa utafakari
uislam ni uadui,ukristo ni upendo.Pesa za mafuta wanazotumiwa na wafadhili wa kiarabu zinafanya kazi.Mara nyingi fedha za mafuta,madini ni za laana.
hebu wakristo tuchukue hatua
...wanasapoti haya, wanaweza kusema ni kipi wanachopigania...maana mara makanisa yanachomwa, mali za watu binafsi zinaharibiwa, majengo ya ccm yanachomwa, polisi kauawa...nk.
Nahisi sielewi jamani...
YANI MIMI KM MWISLAM NAUMIA SANA KWA MATENDO AYA YA KIHUNI DHIDI YA AWA NDG ZETU WAKRISTU WASOKUWA NA HATIA, EH MOLE TUEPUSHE NA HII HATARI INAYOTUNYEMELEA, RIL NAUMIA SANA ROHO YANGu
Gov. inajipanga Mkuuhapa lazima kuna support
wanayoipata toka some where haka kakikundi ni kadogo but mambo kanafanya
ni makubwa na inaonekana wazi gvt inaelekea kukashindwa coz daily
kanazngua kwanini wasitupiwe wazee wa JWT
kuna mtu amenipa taarifa kuwa kanisa la moja Anglican huko Unguja limechomwa mchana huu. Anayeweza kupata maelezo zaidi atujulishe.
Nigeria kwa kipindi chote ilipokuwa chini ya Rais mwislam ilikuwa shwari,lakini aliposhinda huyu wa sasa
Goodluck Jonathan ambaye ni mkristo fujo zikaanza.Sasa kwanini tusiamini nyie ni watu wa fujo.Wamasai
wakifanya fujo unakuta wanadai mahali pa kulishia mifugo yao,wakurya hali kadhalika.Hebu nikuulize wewe
mnataka nini mpaka yote haya?Rafiki zangu walikuwa waislam lakini sasa basi!!!!
kuna mtu amenipa taarifa kuwa kanisa la moja Anglican huko Unguja limechomwa mchana huu. Anayeweza kupata maelezo zaidi atujulishe.