Tetesi: JKT kufanya Usaili wa vijana upya

Good People

JF-Expert Member
Aug 6, 2016
945
1,817
Wakuu nimenyetishiwa na mnyeyishaji kutoka Makao makuu amesema wanafahamu walifanya usaili ambao sasa umefikisha miezi 5 amesema wengine wameshapoteza sifa za kujiunga na mafunzo.

Ametaja kigezo cha umri kuwa wengine wameshapitisha umri sahihi wa kujiunga na mafunzo pia Kuna vitu kama Vifo,ulemavu,Mimba, magonjwa ya akili na kusisitiza kuwa Jeshi halina mambo ya kihuni na wasailiwa lazima wafanyiwe screening upya.


Inaleta maana asante serikali ya awamu ya Tano.
 
sidhani kama kigezo cha kusema umri au vyote ulivyotaja vitakua sawa maana wao wenyewe waliposaili vijana mwaka huu walikua na maana yao na ndo maana wakatoa mkataba wa miaka miwili hivyo wote waliosailiwa bado wananafasi kwan watu walihaswa walinde afya zao
 
Wakuu nimenyetishiwa na mnyeyishaji kutoka Makao makuu amesema wanafahamu walifanya usaili ambao sasa umefikisha miezi 5 amesema wengine wameshapoteza sifa za kujiunga na mafunzo.

Ametaja kigezo cha umri kuwa wengine wameshapitisha umri sahihi wa kujiunga na mafunzo pia Kuna vitu kama Vifo,ulemavu,Mimba, magonjwa ya akili na kusisitiza kuwa Jeshi halina mambo ya kihuni na wasailiwa lazima wafanyiwe screening upya.


Inaleta maana asante serikali ya awamu ya Tano.
 
Mkuu hao wakufunzi wa JKT watakuwa ni majipu na ni waribifu kama mchwa!!
Wakufunzi wamefanya nini sasa..wakati hao wafunzwaji wapo nyumbani mpaka Leo..' Wqmepata nafasi tu ya jkt..ila mpaka Leo bilabila
 
Sio kweli kuanza usaili upya ni garama kubwa mno watakaobaki na sifa ndio watakaoenda vikosin na tulishaambiwa tulinde afya sababu tukilipoti kwenye makambi tutarudiwa kupimwa so tetesi za uongo.
 
Heheheheh wapi afande nkanga chief.

Luteni usu demo vijana wenu watanyonga hahhhah

Daaaah
 
Wakuu nimenyetishiwa na mnyeyishaji kutoka Makao makuu amesema wanafahamu walifanya usaili ambao sasa umefikisha miezi 5 amesema wengine wameshapoteza sifa za kujiunga na mafunzo.

Ametaja kigezo cha umri kuwa wengine wameshapitisha umri sahihi wa kujiunga na mafunzo pia Kuna vitu kama Vifo,ulemavu,Mimba, magonjwa ya akili na kusisitiza kuwa Jeshi halina mambo ya kihuni na wasailiwa lazima wafanyiwe screening upya.


Inaleta maana asante serikali ya awamu ya Tano.

Unajitungia story unadhani jeshi la baba ako Hili!, na viherehere Kama wewe ndo tunawatafuta.
 
Back
Top Bottom